Search results

  1. H

    Tatizo la uume kusimama kwa muda mrefu

    Ulimhakiki? Pengine anakutaka. he he he lol
  2. H

    Rais Magufuli: Mawakili wanaowatetea wahalifu waliokutwa na ushahidi nao wawekwe rumande ili wakome

    Nimecheka Sana. Ni wazo zuri ila mahakama na sheria, sio kile unachokijua lakini kile unachoweza kukitolea ushahidi mahakamani. I'ts not what you know, It's what you can prove in court. That's how Legal system works. :D
  3. H

    Msaada:Psychometric Assesment Test

    Habari. Natumai mzima na nyote wazima. Niliona tangazo hilo la kazi kwenye site ya Tanzania jobs portal, nlivoona email yao ni hr@world-concern nkaogopa maana website yao hawana kamstari hako kwenye world na concern, nikasema hii ni scam lakini si apple ila rafiki yangu akasema ata apply (Mfa...
  4. H

    Perfume gani wanawake wanapenda kuisikia kutoka kwa wanaume?

    Halafu we jamaa ni mvivu wa kufikiri. Kila kitu unataka kusaidiwa akili. Nikufuoneshe bwawa zuri la kunywa maji unataka nikuoneshe jinsi ya kunywa hayo maji pia? Hizo Givenchy za £15 za kishamba, nimetoa brand nimetoa na range ya hela, aina yeyote ni nzuri, natumia nyingi tofauti. Uki google...
  5. H

    Perfume gani wanawake wanapenda kuisikia kutoka kwa wanaume?

    Inaitwa Givenchy. Bei inaanzia laki 4 Original, sio za kariakoo za laki na nusu. Hiyo haiondoki kwenye nguo hata ukifua. Nakumbuka shuleni nilikua nikiingia class watu wote attention kwangu hadi nkawa naona noma kupakaa. Nkipita kwenye korido naacha harufu. wadada walikua wanataka kupiga tory...
  6. H

    Mapenzi na dini

    Kama unamtaka kweli mwanamke, badili dini. Haupungukiwi kitu. Mambo ya kizaman kusema lazima mwanamke abadili dini. Mwanaume wa kweli hawezi kukiachia kile anachokitaka kama kweli ndo unachokitaka. Wewe ndo mwanaume, rahisi wazazi wako kukuelewa maana ndo mwenye say ya mwisho, ila kwa mwanamke...
  7. H

    English learning thread

    Am asking you only this one question and you don't seems answering it. Tell me how will you use some other nation's technology while you don't know their language? How can you use America's Technology if you don't know English? How can you use China's technology if you do not know how to speak...
  8. H

    English learning thread

    You go Sickle Cell or something? In the end, that culture will not help you if you have a new generation that doesn't know how to speak english because in everything today's life, it's all about knowing the Language. If we have technology, if we do not depend anything from the west, then You...
  9. H

    English learning thread

    You're good. Stop Grammar Start Talking. Talk.... Talk.... Talk. Anything just Holla me.
  10. H

    English learning thread

    Stop Memorizing. The kind of people your talking about got their own technology, the don't need English to operate computers, machines and everything else. We Tanzanian's we got no any science with us. We import than export. We can't even make a toothbrush. We can't explore because were not...
  11. H

    NSSF tunataka majibu ya tuhuma kuhusu 'udini'

    Habari. Natanguliza Shukran. Binafsi sio kama kuna upendeleo wowote ule, ukizingatia waislamu walikua hawapewi nafasi zamani. Sasa wakianza kupewa kidogo watu wanaongea maana sio kawaida muislamu kuajiriwa, hilo linafahamika. Mfano mzuri, UDSM walijaa wakristo, sasa UDOM ilivoanza kuajiri...
  12. H

    Nyaraka muhimu kwa Maombi ya Kazi; Barua, CV /Resume na Rejea

    Habari yangu nzuri. Vipi na wewe? Hizo hapo nimeziambatanisha.
  13. H

    Nyaraka muhimu kwa Maombi ya Kazi; Barua, CV /Resume na Rejea

    Hizo hapo waeza ku download.
  14. H

    Nyaraka muhimu kwa Maombi ya Kazi; Barua, CV /Resume na Rejea

    For starters, Entry level 0-3 years experience it is an ideal Resume. It is not for Mid level 4+ years. The one who started this thread is about to finish college and that format for me is appropriate. You can post your Resume which you believe its professional so you can help the Need.
  15. H

    Nyaraka muhimu kwa Maombi ya Kazi; Barua, CV /Resume na Rejea

    Salaam. Natumai ni mzima. Hiyo ni microsoft office word 2014. hata word 2010 unaeza kufungua. Ahsante.
  16. H

    Nyaraka muhimu kwa Maombi ya Kazi; Barua, CV /Resume na Rejea

    Asante sana mkuu. Ubarikiwe nawe pia.
  17. H

    Nyaraka muhimu kwa Maombi ya Kazi; Barua, CV /Resume na Rejea

    Habari. Nimekutengenezea CV. Nime ambatanisha mafaili matatu. Kuna cover letter, Resume na Reference ambayo ni referee. Hata siku moja usiweke referee kwenye CV yako. na usije ukaandika Curriculum Vitae kwenye Resume yako, ni makosa. utaonekana sio professional. Natumai nimekupa mwanga...
  18. H

    Rafiki yangu hataki kupokea simu yangu wala kuniambia nimemkosea lipi nifanye nini?

    Alayna Wa Alaykum. Allah Barik Fee. InShaa Allah. Shukran.
Back
Top Bottom