Nimecheka Sana. Ni wazo zuri ila mahakama na sheria, sio kile unachokijua lakini kile unachoweza kukitolea ushahidi mahakamani.
I'ts not what you know, It's what you can prove in court. That's how Legal system works.
:D
Habari. Natumai mzima na nyote wazima.
Niliona tangazo hilo la kazi kwenye site ya Tanzania jobs portal, nlivoona email yao ni hr@world-concern nkaogopa maana website yao hawana kamstari hako kwenye world na concern, nikasema hii ni scam lakini si apple ila rafiki yangu akasema ata apply (Mfa...
Halafu we jamaa ni mvivu wa kufikiri. Kila kitu unataka kusaidiwa akili.
Nikufuoneshe bwawa zuri la kunywa maji unataka nikuoneshe jinsi ya kunywa hayo maji pia?
Hizo Givenchy za £15 za kishamba, nimetoa brand nimetoa na range ya hela, aina yeyote ni nzuri, natumia nyingi tofauti.
Uki google...
Inaitwa Givenchy.
Bei inaanzia laki 4 Original, sio za kariakoo za laki na nusu.
Hiyo haiondoki kwenye nguo hata ukifua.
Nakumbuka shuleni nilikua nikiingia class watu wote attention kwangu hadi nkawa naona noma kupakaa.
Nkipita kwenye korido naacha harufu. wadada walikua wanataka kupiga tory...
Kama unamtaka kweli mwanamke, badili dini. Haupungukiwi kitu. Mambo ya kizaman kusema lazima mwanamke abadili dini. Mwanaume wa kweli hawezi kukiachia kile anachokitaka kama kweli ndo unachokitaka. Wewe ndo mwanaume, rahisi wazazi wako kukuelewa maana ndo mwenye say ya mwisho, ila kwa mwanamke...
Am asking you only this one question and you don't seems answering it.
Tell me how will you use some other nation's technology while you don't know their language?
How can you use America's Technology if you don't know English?
How can you use China's technology if you do not know how to speak...
You go Sickle Cell or something?
In the end, that culture will not help you if you have a new generation that doesn't know how to speak english because in everything today's life, it's all about knowing the Language. If we have technology, if we do not depend anything from the west, then You...
Stop Memorizing.
The kind of people your talking about got their own technology, the don't need English to operate computers, machines and everything else. We Tanzanian's we got no any science with us. We import than export. We can't even make a toothbrush. We can't explore because were not...
Habari. Natanguliza Shukran.
Binafsi sio kama kuna upendeleo wowote ule, ukizingatia waislamu walikua hawapewi nafasi zamani. Sasa wakianza kupewa kidogo watu wanaongea maana sio kawaida muislamu kuajiriwa, hilo linafahamika. Mfano mzuri, UDSM walijaa wakristo, sasa UDOM ilivoanza kuajiri...
For starters, Entry level 0-3 years experience it is an ideal Resume. It is not for Mid level 4+ years.
The one who started this thread is about to finish college and that format for me is appropriate.
You can post your Resume which you believe its professional so you can help the Need.
Habari.
Nimekutengenezea CV. Nime ambatanisha mafaili matatu. Kuna cover letter, Resume na Reference ambayo ni referee.
Hata siku moja usiweke referee kwenye CV yako. na usije ukaandika Curriculum Vitae kwenye Resume yako, ni makosa. utaonekana sio professional.
Natumai nimekupa mwanga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.