Hata kama wasingemshobokea huyo Kikwete na kumchangishia hela ya kuchukula fomu mambo yangekuwa hayohayo tu! Tuko wapi wakina sisi tuliokuwa hatumtaki?!
Ila kwa sasa ngoja wale jeuri yao ndo wajue kama walikuwa wanalipitisha kuti kavu...
Jamani wana JF naombeni mawazo yenu....hii nchi yetu inaelekea wapi jamani?
Mafisadi wakutosha,maendeleo hakuna.......na sasa tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu wa kumchagua kiongozi atakayeongoza hii nchi,naona kama vile mwezi wa 10 kunaweza kukatokea machafuko(siombei),kwa sababu CCM...
Pipo bwana!
Mnamuona mpumbavu,mjinga...wakati mnasikiliza anachokiongea sasa na nyie si mpo kwenye kundi hilohilo....na wengine ukute mnafanya pumba ambazo hazielezeki!
Kuna watu wana mijina ya ajabu,wengine wapo humu humu halafu mnalisema jina la kibonde....!Yani pipo bwana!
Yani mtabaki...
Sio havitaki,vingi vinaogopa!
But naona mwananchi wamekuwa wabishi kidogo,hivi karibuni mwandishi wao alipigwa pini kuufwata msafara wa kikwete kuelekea kwenye kampeni za CCM!
MGOMBEA urais kwa tiketi ya CCM, Jakaya Kikwete jana aliendelea na mikutano yake ya kampeni katika mikoa ya Katavi, Rukwa na Mbeya ambapo wananchi walimpa matumaini makubwa ya ushindi lakini wagombea ubunge wawili walizomewa.
Kikwete aliwasili mkoani Mbeya jana na kuanzia kampeni zake kwenye...
nimefanya jitihada kubwa kushawishi baadhi ya watu wasishiriki kabisa hiyo mibahati nasibu,naamin nimefanikiwa kwa kias kikubwa..madogo hawaombi vocha ovyo ovyo siku hizi..JF Members jitahidini muache kucheza hiyo mibahati nasibu(uamuzi ni wako mwenyewe,ukiamua cheza)..Siku zote kumbuka rahisi...
Binafsi ni mpenzi sana tena sana wa CHADEMA...Kiukweli kuna maneno ambayo waliyaongea si mazuri but katika swala zima la kuwakatishia matangazo mimi siliafiki,lakini pia inategemea na mkataba waliowekeana.
Hakimu Gabriel Mirumbe wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam leo Ijumaa Tarehe 27 agosti 2010 anatarajia kutoa maamuzi ya madai yaliyotolewa na upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Mtangazaji wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC), Jerry Muro kwamba alilazimishwa...
Inasemekana Dawa mseto ya Malaria ina sumu kali ambayo italeta madhara makubwa hapo baadae kwa watumiaji...Itapelekea watu kupooza!
Jamani watanzania tunamalizwa kwa njia moja au nyingine,vizazi vijavyo sijui vitakuwaje....Nadhani mlikuwa mnafahamu kama hizi dawa zilikuwa kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.