mkuu ile mechi name nilishuhudia live, wale jamaa kiukweli hawafai kabisa, ukiwa nje utaona kama wanafanya mzaa ila waulize wachezaji wa timu pinzani watakwambia shughuli ya wale jamaa
mkuu wale jamaa hawafai, mie mara ya kwanza nimeona mechi yao uwanja wa taifa siku ile wanacheza na Yanga, sio siri wale jamaa ni hatari sana, beki za yanga zilikuwa hazipandi mbele kama walivyozoea kucheza na timu nyingine
Siku hizi jamii forum hakuna tofauti na facebook, zamani live updates hasa jukwaa la michezo zilikuwa zinarushwa kila dakika, siku hizi ni story tu wala hupati matokeo
Mkuu umeongea ukweli kabisa, ukitaka ujue ubaya wa timu ya Azam nenda kawaulize wafanyakazi wa viwanda vya Azam, wanaichukia ile timu ni balaa, pesa wanazotakiwa walipwe wao ndio wanachukua wachezaji. Yaan wale wachezaji wanawanyonya wafanyakazi hasa wabeba viroba, Azam sio timu kubwa hata siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.