Afanye hivyo hata kwenye mazoa mengine kama ngano na shayiri maana wakulima wetu wanashindwa kuuza ngano kwasababu inaingizwa kiholela sana toka nje. Shayiri (Barley) inatoka South Africa wakati sisi kama nchi tunaweza kuzalisha na kuwanufaisha wakulima wetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.