Msimamo wa kanisa ni serekali 3.
Leo hii Mh Pengo anataka serekali 2.
Hii ni wazi inawezekana Katiba ikakwama kupata theluthi inayotakiwa na kutumika ile ile ya 1977.
Inaamana kwamba kazi yote iliofanywa ni bure
GAZETI LA HABARI LEO
<p>MUUNDO wa serikali tatu uliomo ndani ya Rasimu ya Katiba...
Naibu katibu Mkuu wa Zanzibar amesema CCM haiko tayari na mfumo wa serekali 3. Amesema hayo Makunduchi jana.swali: kwanini baadhi ya CCM Zanzibar haitaki serekali 3? wao wanaathirika na nini?Jee 61% ya waliotoa maoni. CCM hawamo?
Tv imaan yapata kibali rasmi. Tv hii inaendeshwa na islamic foundation.
Licha ya islamic foundation kumiliki tv. Pia ina redio na shule za sekondari.lakini inamiliki zahanti nyingi hapa nchini zinazosaidia waislam na wasiokuwa waislam
pia ni taasisi iliokaribu sana na chuo kikuu cha waislam...
CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimehadharisha walaji wa nyama ya nguruwe nchini, kuwa wanakabiliwa na hatari ya kupata kifafa.
Utafiti wa kisayansi uliofanywa na SUA, umebaini kuwa baadhi ya nguruwe wana minyoo aina ya tegu ambao nyama yao ikiliwa bila kuiva vizuri, mlaji atapata...
Hapa kwetu Tanzania mbona hawataki waislam kujiunga na OIC au mahakama ya kadhi huku wao wakiwa na vatikan?
Kama kweli uko moyoni, mbona MOU hawavunji mkataba?
Mbona hawaikemei NECTA?
Hpa kwetu sidhani kama ni wa kweli.
huko ulaya mbona wapo kimya kuhusu Marekani na israel wanavyofanya duniani?
kwa mujibu wa gazeti la Annur sheikh Ilunga amekamatwa na kufunguliwa mashtaka, Nalipongeza swala hili ili sheria ifanye kazi yake .
lakini kwa mujibu wa taarifa za mwanzo Miezi 5 iliopita zilitolewa na polisi waliokuwa wanatafutwa ni sheikh Ilunga na Padri Mpemba kwa mujibu wa magazeti mengi...
wakati wa uanzishwaji wa vijiji vya ujamaa, watu wengi walinyanyaswa na kuhamishwa bila ya ridhaa yao. uvunjwaji mkubwa wa haki za binaadamu ulifanyika.
Lakini hakuna aliewajibishwa, sio waziri wa mambo ya ndani au waziri wa vijiji
Kwanini Makao makuu ya dini yapo Ulaya.
katoliki - Italia
Cathodic - Ujeruman.
Angalikan - Uk.
Wasabato - Marekani
nijuavyo mimi, Yesu aliishi sana maeneo ya IRAQ, SYRIA, ISRAEL na kidogo Egypt.Nchi za ulaya ndio za mwisho kufikia ujumbe wa YESU wala hakuna historia ya kwamba aliwahi kufika...
wakati Juma Nkamia anazungumzia kuhusu bbc swahili kwamba wakati mwengine kinatumika kama chombo cha propaganda, wengi tulimpinga.
Hivi sasa chombo hichi kipo bizz sana kuzungumzia mzozo wa Afrika ya Kati. kinachoshangaza kwamba makundi yanayopigana ni waislam na wakiristo. Taarifa za baadhi...
Kuna habari kwamba
CP Hamdan Omari Makame ni mtaalam wa mambo ya IT kwa ukumla , ni msomi aliepitia chuo cha DIT(advance diploma ), marekani, Canada, china, Australia na nchi nyegine nyingi.
Alikuwa mkuu wa IT tanzania.
Thanks
Wakati sakata la Hamad Rashid na CUF, Kafulila na NCRR, gazeti la habari leo halikuwa likiipa umbele habari za wawili hao.
Lkn hili la Mh zitto limepewa sana kipaumbele. kwa mfano ukisoma toleo la leo, jana na hata Juzi utagundua linajarabu sana kuonesha kwamba zitto ameonewa. lkn tofauti na...
Wakati nipo Chuo kikuu UDSM. Kuna rafiki yangu wa karibu sana kawahi kuniambia Kitila Mkumbo sio mpinzani.
huyo rafiki nilimuona Mtu wa ajabu sana. lkn sasa nimeanza amini
wanadai Siasa za tanzania bara sio za kuaminika.
Wadai kama DK wa chuo kikuu anakuwa msaliti wa mageuzi sijui nani ataaminiwa.
Wanasema katika historia ya Tanzania hii ni mara ya kwanza Msomi kama dk wa Chuo kikuu anakuwa msaliti na anafukuzwa.
Wadai kwa upande wa Zanzibar madokta wengi...
Kuna brother wangu mwaka wa sita huu anaitafuta master ya Business Adminstration hapo IFM anapigwa chini.
Lakini pia kwa mujibu wa matangazo yaliotolewa IFM kwamba leo 21/10/ kuna graduation ya watu wa master ya IT itayofanyika katika ukumbi wa CHUO CHA UTALII saa 6 mchana opposite na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.