Habarini wanajanvi!
Nimekuwa mhanga wa kadhia hii ambayo imeota mizizi katka tawi hili la nmb vwawa mbozi mbeya,nimeomba mkopo yapata mwezi sasa nikiwa nimetimiza vigezo na masharti yote nikaambiawa ntapata hela ndan ya masaa 48 lakn hadi leo sijapewa rafiki yangu tuliyekuwa naye kapewa baada...
Wilaya ya Mbozi wananchi tunaonewa sana, Sehemu nyingine hawachangii Mwenge lakini sisi tunalazimishwa. Agizo kutoka Halmashauri ya Wilaya, ni kuwa kila Mwalimu achangie Elfu tatu (30,00) Kwaajili ya mafuta ya Mwenge.
Je Mwenge hauna bajeti?
Na mwisho wa kutoa mchango ni Tarehe 22.06.2015...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.