Search results

  1. N

    Kwanini kuna muda wa kuisha matumizi kwenye vitambulisho vya Taifa?

    Tarehe ya mwisho ya kitambulisho ni muhimu sana. Baada ya miaka 10 hata sura inakuwa imebadilika. Hivyo picha mpya ni muhimu. Pia, kuna watakaokuwa wamefariki kwa mfano. Hawa utambulusho wao utajiondoa kwenye orodha automatically. Sababu za ukomo ni nyingi na muhimu!
  2. N

    ABG appoints Philbert Rweyemamu General Manager of Tulawaka Mine

    Rweyememu is a common Haya name. Sidhani kama ana uhusiano na hao Rweyemamu wengine.
  3. N

    Cheap android phones unazoweza kununua

    Kama unahitaji simu bomba ya android, nunua SAMSUNG GALAXY S au S2 au S3. You wont regret. Ila kauwezo kawepo.
  4. N

    Hivi yule anayelia kwenye tangazo la "Wamekataaa" anazungumza nini?

    tangazo la kitoto sana. kiwango hakifanani na airtel!
  5. N

    Paka Anayedaiwa Kuwa na Uwezo wa Kunusa Kifo Kabla Hakijatokea

    Wanyama ni viumbe wenye tofauti kubwa na binadamu. Kuna maeneo mengi ambapo wana uwezo mkubwa, tofauti na binadamu. Kwa mfano, ukisikia usiku wa manane mbwa au kuku wanalalamika ujue kuna mchawi kapita eneo hilo. Mara nyingi utawasikia wakipokezana nyumba moja hadi nyingine. Binadamu wa kawaida...
  6. N

    Kubemendwa

    Huyo mama anao washauri wa mitaani wanaompotosha. Mweleze daktari wake ambaye atampa ushauri wa kisayansi kuhusu suala zima la kujamiiana wakati mama ananyonyesha. Kinachotakiwa hapo ni kujithidi asipate mimba kabla ya wakati mwafaka! Otherwise unachapa tu.
  7. N

    Mabibo wine and Monopolistic ideas that kill Tanzania's beer lovers

    Tambo la Mabibo na heineken yao tayari limepata ufumbuzi. Wanywaji wa heineken zaidi ya nusu tayari wamehamia kwenye ndovu mpya! By the way, hawa jamaa wa Mabibo ni walewale kina Lugemarila wa IPTL.
  8. N

    Nchimbi na Kamala hawana PH.D

    Mimi nawasifu Wamarekani kwa jinsi wanavyo-handle suala la u-dr na u-prof. Hizi title wanazitunia tu pale wanapokuwa kwenye shughului za academic. Kwa mfano prof akiacha kufundisha akawa mbunge au mfanyabiashara, title ya prof au dr hazitumiki katika shughuli zake za siku hadi siku. Anakuwa ni...
Back
Top Bottom