Huo mchele ni maalum kwa shule zenye uhitaji wa lishe za ziada. Wewe bado unasoma shule? Hata mchele wa Mbeya kilo moja 3600 utakuta huna hela ya kununua
Hii nchi kuna dhiki kubwa na njaa kali. Huo mchele ni salama kabisa na unahitajika kwa sana. Tena ni mchele bora kuliko hata mchele wa Mbeya sababu umeongezwa virutubisho ADIMU ambavyo vijana wa shule wanahitaji kwa afya yao. Itoshe kusema, hakuna shule inaweza ku afford mchele premium kama wa...
Kawaambia NGO? NGO ndiyo inaamua pesa za kodi za Wamarekani ziende kwa Wakulima wa Marekani au ziende kwa Wakulima wa Tanzania? Huo ni msaada. Take it or leave it. Aaiambie hiyo NGO warudishe mzigo wao wa mchele Marekani badala ya kuzungumza maneno mengi yasiyo na mantiki wala uhalisia...
Jiongeze mkuu. Google. Fanya research ya angalau dakika 5.
https://www.ffinetwork.org/americas
https://www.researchgate.net/figure/Countries-with-mandatory-rice-fortification-and-those-with-rice-availability-of-75-g-d_fig3_349332973
Huu ni mchele ulioongezwa vitamini na madini baada ya kuvunwa. Unitwa fortified rice. Mchele wote uliozalishwa Marekani ni lazima uongezewe virutubisho hata ule unaopatikana madukani Marekani kwenyewe mfano Uncle Ben's parboiled long grain rice...
Hiyo hoja ya huyo mama ni upuuzi mtupu ambayo ni akili y mwanamke mjnga tu asiye na hekima wala busara anaweza kuja nayo.
Huu muswada ningependa ajitokeze mtu au kikundi/taasisi waupinge mahakamani kwa hoja. Itoshe kusema ni jambo ambalo halikubliki kabisa kwa 99.999999% ya Watanzania wote.
Kwani lazima kumsikiliza au kumsaidia si unaweza kula jiwe akianza kukuongelesha? Unaweza mpa buku vilevile au hata jero. Hajamlazimisha mtu ampe elfu 40 au laki.
Since you happen to be aware of your own mental health challenges, then why the heck aren't you seeking professional help but instead going around venting about it on a public forum? What's the point?
Anayo cult of worship and dedicated praise singers utadhani Kim Il Sung wa Korea. Usiwashe radio au TV maana utakutana na uharo non-stop wa shukrani zisizoisha kwa "Mheshimiwa Dokta Rais Samia Suluhu Hassan" kwa kufanya hiki na kuteletea kile. It's complete utter nonsense!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.