Hizi kauli ni zetu mashabiki mkuu sio za wachezaji na benchi la ufundi.
Ni sawa na ile Pacome day, watu walisema tumewekeza kwenye PDay badala ya kujiandaa, mwishowe mtu akala 4.
Vyovyote vile ulivyoelewa, lakini alichoongea ndio ukweli wenyewe, Simba hana timu ya kupishana na Yanga.
Na hakuna mwanasimba ambaye anatamani hii itokee hata mwezi wa 4 ni kama unakuja kwa kasi sana
Simba mwaka 1974 alicheza Nusu final dhidi ya Ghazl el Mahalla na alitolewa kwa penalty 0-3 baada ya kila timu kushinda kwake 1-0.
So jamaa yuko sahihi.
Kosa ulilolifanya ni unetranslate, nikueleweshe tu
Maana ya Chabab Riadh Belouizdad ni Vijana wa Belouizdad. Sasa hiyo vijana haimaanishi ndo wamecheza, ila vijana imetamkwa kama timu
Kanuni zinatamka kuwa, kama timu zimelingana points, kipengere cha kwanza wanachoangalia ni H2H (head to head) nano mshindi mlipokutana. H2H Yanga ana magoli mengi zaidi ya Belouizdad 4vs3. Lakini kama ingekuwa magoli yao pia yanalingana yaani 3vs3 ndio wangeenda kwenye general Goal difference...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.