Dar es Salaam. Mtoto wa kike wa miaka 15 ameieleza Mahakama ya Wilaya ya Temeke jinsi alivyobakwa na mwanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) na kuambukizwa ugonjwa wa Ukimwi.
Kitendo hicho kinadaiwa kufanywa Juni 25, 2020 katika maeneo ya Kijichi, Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam na...
Hapa alikuwa anampa ushauri mu America mwenzake aliyekuwa anakuja tz
Hi Paul,
You have asked the right person if you want to know about medical things and Tanzania, and having a baby in Tanzania. We have our 3 kids. ages 4, 3, and 1, We went back to the U.S 6 weeks before delivery and returned...
Unajua kuna vitu vinashangaza sana. Dume zima mpaka miaka hamsini huna hata gari la mabati. Sa unafanya kazi ya nini. Lengo la kazi upate vitu vizuri banah!
Yaani dume zima unakosa hela ya usafiri kama huu[emoji116][emoji116][emoji116]
au basi hata magari ya mbebez na vitoto kama
Wanaume...
Mwenye pesaaaa...
1.anayeweza kulipia dstv premium hata ifikie 500k
2.ambaye halalamiki jf eti dstv wamepandisha
3.lazma umiliki gari lisilopungua 45mil
4.unampeleka dem mall za maana sio karume au kariokoo
5.ambaye ha report thread kwa mods mada hii inapomgusa
Dr.holygrail...
Pata picha kuwa unalipwa mshahara kiasi cha Sh. 600,000 Ukatwe kodi ya PAYE 18% ya
mshahara 600,000-108000= 492000
Ukatwe 18% mkopo wa boom ulioupata chuo492000-108,000=384,000, Kodi ya nyumba 384,000-100,000=284,000
NSSF wakate hapo 284,000-80,000=204,000, bili ya umeme 204,000-20,000=...
MATHEMATICAL
PAPER
Time: 2Hrs 30MINS
INSTRUCTIONS:
.ATTEMPT ALL QNS
.ALL QUESTIONS CARRY EQUAL MARKS
1. You have dated a girl for 2yrs,
eventually
she drops u for another guy.
Calculate the percentage of time
wasted. (20mks)
2. You buy knickers for ur
girlfriend & another...
"Nieleze siri ya mafanikio...."
"Sio siri, ni revolla!"
" Revolla peke yake?"
" Ndiyo...kwani marashi yake ni
tulivu, na huniacha fresh,
mchana kutwa..."
Jamani hivi yule binti alishapotelea wapi? Nilikuwaga namfeel kinoma. Nadhani zingekuwa zama hizi za utandawazi angekuwa bongo movie.
Hapo zamani za kale walitoke vijana wawili waliokua marafiki sana. Mmoja akiitwa "mtoto wa tajiri" na mwingine "ndugu mkware".. Waliitwa "Boys 2 Men" kwa jinsi walivyoshibana. Mtoto wa Tajiri baba yake alikuwa na mali nyingi lakini "ndugu mkware" alikuwa mtoto wa Fukara baba yake akiwa Area...
U know what mbebez!!...ili usiwe le mwanaume kengerez lazma uwe na sifa zifuatazo you know!!
1.Usiwe le mwalimu you know!!...walimu wote ni mafukaraz you know!!..so infwakt all tichaz are wanaume surualiz you know!!
2.Mshahara wako usiwe chini ya 1.5m kama ni chini ya hapo we ni le mbebez bin...
Nimefanya utafiti nimegundua kuwa,humu jf unakuta mtu ana-post topic ambayo ni nzuri na ambayo inaweza ikawa iko na mchango kwa jamii kwa ujumla lakini unakuta comment moja au zimezidi sana tano.!! Ila mtu akiweka topic ya kishenzi unakuta kila mtu ana-comment ujinga ambao anauwaza kichwani...
Huyu mbebez nilitegemea akitoka huko kuzimu atakuwa amejirekebisha lakini imekuwa ni kinyume kabisa.
Ujue humu jf hakuna sehemu tamu ya kumrudisha mtu kuzimu kama kule 'siasani' bana. Jamaa kaenda kuchafua hewa kwa yericko nyerere nikamchoma hapo hapo!!...
Tokea aliporudi toka kuzimu nilipata...
Habari za kwenu. Ninaamini humu ndani kuko na mapadri na mashekh, basi kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, nilikuwa ninaomba munisaidie maombi yeyote ambayo nitaomba ili nipate kufa. hapa sijasema uniambie sijui nile nini na nini! nimesema ninataka maombi ambayo nitaomba ili suala la...
wasanii wetu yawapasa wawe makini sana. Hebu ona haya mambo kutoka kwa mr.nice. (kwa hisani ya le mutuz)
Katika hali isiiyokuwa ya kawaida mwanamuziki Lucas Mkenda maarufu kwa jina la Mr Nice ameibuka na kueleza sababu zilizomfanya kufirisika licha ya kuwahi kumiliki zaidi ya bilioni moja na...
usiombe ukakutana na haya majaribu yaan very unbearable!!..hii ni kwa hisani ya muke ya muzungu!!
"Nimeolewa huu ni
mwaka wa pili sasa
nashukuru Mungu
mume wangu
tunaelewana vizuri
kusema ukweli ni mwanaume anaejua
nini maana halisi ya
mapenzi ana utu anajua
thamani ya mwanamke...
Mimi napenda utani sana wajameni....
1.mara ghafla chadema wanashinda kwa kishindo uchaguzi wa 2015...natania tu...
2.ghafla bin vuu dr. Salaha anakuwa rais wa JMT halafu mbowe anakuwa PM. Teh!teh!teh!...me natania tu!
3.kutahamaki Le mutuz anaacha utoto na kuwa mtu mzma kimawazo afu...
dah! Hawa jamaa wako vizuri asee. Kwa wale wa 'mahaba niue' huu ndo mtandao wenyu banah! Unaongea kwa 79sh then mpaka sim iishe chaj au sikio liume. Yaani hapa nilipo tokea nimempigia wifi yenyu jana sijakata simu. Tunaongea kama tupo pamoja wajameni.
Karibuni sana wenzangu wa 'mahaba niue'
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.