You need to be ingored big time hakika Wadau huyu katumwa baada ya kumaliza kupima upepo kwa JK kuwa LIVE sasa wanakuja njia mpya . Hatuwezi kurudia kuridia mijadala okoa muda wetu wa kujadili mambo mengine bwana
Mimi nawapa hongeara Chadema maana watu walisema Chadema hawasikiii na kwa mara nyingine Chadema wanaweka rekodi ambayo iliwekwa na wenzao wa NCCR kwamba si lazima Mwenyekiti wa Chama agombee Urais . Ushauri wangu pia kwamba Slaa gombea mwaka 2015 na si sasa . Weka uwanja sawa kwanza watu waumie...
It was a politicak move wakiwa hawajakaa yema ikawa pre empted na wajuvi sasa hawana la kufanya . Fuatilia nyuma ya tender ya mafuta hiyo utajua kiasi halisi cha gharama na Tanzania imelipa kiasi gani . They mapensa ya uchaguzi bwana weeeeeeeee
Tabora is very close na Mirembe nadhani M-Bongo ukaangaliwe akili . Habari njema wewe unasemaje ? Uache kututania kabisa . CCM wanatakiwa waondoke na si wala kurekebisha . Wakirebisha means wanaiba kura na kutumia FFU kwa malipo ya shilingi 5 kwa siku .
Katibu UVCCM apata wakati mgumu kesi ya Sendeka
Na Mussa Juma, Arusha
KATIBU wa Jumuiya ya Vijana ya Chama Cha Mapinduzi(UVCCM), Wilaya ya Monduli, Mathias Mihayo (43) ambaye ni Shahidi wa nne katika kesi shambulio na kutishia kwa silaha inayomkabili Mbunge wa Simanjiro Christopha Ole...
Wakuu nimeona wengi mmesema sana na maoni yenu na hata hisia kali zimechochewa na Kibanda .Kitila , Kibanda, Mbowe , Zitto , Mnyika, Halisi , Mrema John , sisi sote tunajuana wka karibu .Narudia sote tunajuana kwa sura na majina na makazi yetu , sote tuko katika harakati graundini na si JF pekee...
Ama kweli CCM wamelewa madaraka hata hakuna wa kumwelekeza mwenzake.Yaani kule Dodoma kwenye mikutano yao , Kingunge achane chane waraka na kuutupa kapuni then wao waseme waunde kamati ya usuluhishi kwa lipi ? Yaani Maaskofu wakae waje na kitu cha kuwapa Watanzania Elimu ukidharau mbele ya...
Kibanda ,umesha sema vya kutosha .Yeyote aliyetaka kusikia umesema ama umetetea kama hili lipo basi atakuwa ameona. Mbowe ni mwanachama hapa .Naamini anasoma na anajua watu wanavyo ipenda Chadema. Nakushauri sasa pumzika acha wengine waseme maana wewe watu wanakuona na hidden agenda. Kaa pembeni...
Maneno ya Pengo hayakumtisha Mkapa, JK na kundi lake pekee bali hata akina Barubaru wenye uwezo mdogo wa kujua mambo na kubeba udini na chuki binafsi n akuacha haki za watanzania zife kwa jina la imani ama dini.
Pengo hata Rome wanamjua vyema alivyo. Pengo atakuwa kachukia sana , kwa kawaida...
Kibanda nisaidie kuelewa hapa .Wanasema Zitto achukue waonyeshe jeuri ya Chama in what way ? Jeuri hiyo ambayo wataionyesha baada ya Mbowe na si muda wote ambao Mbowe yupo madarakani ? Wanataka kuonyesha nini hasa labda utusaidie kuweke sawa kila jambo litusidie kujua pa kusimamia .Tupe maana ya...
Je tunaweza kumtafuta mwanasheria na tukaingia mahakamani kupinga udhalilishwaji wa namna hii ama we will need a 90days notice kama tunataka kuishitaki serikali ? Maana JF we can do it tumlipe Tundu Lissu wengine wote ni waoga na wana nunulika .
Swali tunaweza ? Je tukiweza kisheria...
Mtanzania na kundi lako naomba ujue kwamba kanisa haliko kumnyooshea mtu mmoja mmoja kidole na kama lilifanya makosa huko nyuma sasa linasena basi .Badala ya kumtaja mtu na kuzua malumban limeamua kuchukua njia nyeupe sasa ni wewe kutaka ujiunge ama uache wenzako waendelee .Tunakungoja maeneo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.