Habari zenu.
Nina watoto wananichanganya akili kila siku wanagombania kukamua Maziwa kelele mpaka mtifuano wa ngeu.
Nahisi wataniombea speed ya Kwa sir God[emoji16]
Wanasayansi wameshindwa pia kufanya satellite dish kufanya kazi likiwa linajongea mfano dish la Azam ulifunge kwenye Gari yako huku unaangalia channels Gari ikitembea
Uhai ni bora zaidi Kwa maslahi ya maendeleo ya nchi lockdown ni muhimu Kwa nchi yetu hakùna atakae kufa njaa Kwa mwezi mmoja hata miwili na hapo gojwa litayeyuka lenyewe maisha yataendelea
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari ndugu zangu, kama bandiko linavyo someka kuwa Bango dogo la biashara isiyozidi 300,000 linalipiwa barabarani?
Kwa mwenye kujua anijuze.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe kuna waliopata barua[emoji15] Lakini naamini watasikilizwa muda si mrefu maana kupata barua tu ni ishara kua wamekutambua hata hivyo barua tu inaleta morality kiasi Fulani wife akiiona barua anafurahi[emoji2] [emoji4]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.