Daah aisee nimesoma kuanzia post ya kwanza mpaka ya mwisho,kisa kimetulia sana. Yani kwa jinsi ulivyo mpenda khumbu najiona mm kabisa niliyo mpendaga demu wangu wa olevel.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Aisee mm ex wangu alinipiga chini baada ya yeye kupata boom, alafu mwamba nikakosa. O-level na advance tuliishi fresh tu ila baada ya mtoto kupata boom nikaambulia cha mbavu.
Daah mkuu umenikumbusha mbali, mpenzi wangu wa kwanza tulidumu miaka minne nilikuwa nampenda sana but sikufanikiwa kumla. aliniambia yeye ni bikra tusubiri mpaka tuoane ila baada ya kuachana nikasikia kuna mchizi kamtafuna na mimba juu,now ana mtoto wa kike ana miaka miwili. Inauma sana aisee
Hazard CFC,
Daah umenikumbusha mbali sana mkuu....pamoja na kusubiria penzi la 1st love wangu kwa muda mrefu siku bahatika kulipata, nilikuja kupinduliwa na chalii mmoja hivi wa Arusha. Nikikumbuka naumiaga sana yani ukizingatia demu alikuwa bikra.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.