Habari wakuu?
Naomba mnipe tofauti ya hivyo nilivyo taja hapo juu. Nini matumizi yake? Faida na hasara zake?
Na ni ipi bora kuwa nayo nyumbani?
AHSATENI
Habari wakuu?
Nilinunua hisense smart 4k inch 58. Miezi miwili iliyopita. Sasa jana kwa bahati mbaya ime crak kioo. Na warant inasema mwaka mmoja. Je naweza wasiliana na mwenye duka akanipa tv nyingine?
Ahsante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.