Anaandika SALEH ALLY (wa salehjembe blogspot)
WABUNGE walitaka kumtoa roho CAG, kisa aliwaita dhaifu, tena aliyeongoza vita hiyo ambayo wao waliita ni dharau ni Spika Job Ndugai.
Huenda lilikuwa ni suala la matamshi akiwa na maana wao si imara, liliwaudhi hadi CAG akaitwa bungeni na kujadiliwa...
Halo, Nauza Playstation 2 Zipo 4. ni ps 2 Phat zile nene ambazo ni ngumu na zinafaa kwa Biashara
Kila ps inakuja na waya zake.(kama unataka Games na Pad na Memory tutaongea)
Bei:
PS2 Moja Tsh 150,000 (utasave 50,000 Kawaida huuzwa tsh 200,000)
PS2 Mbili Ths 250,000 (utasave tsh...
Baada ya Stand United na Simba kuvaa jezi zinazolalamikiwa kufanana wakati wa mchezo wa ligi kuu Tanzania bara uliochezwa jana Jumapili, October 1, 2017 kwenye uwanja wa Kambarage, ShaffihDauda.co.tz imefanya utafiti kwa nini timu hizo ziliruhusiwa kucheza huku jezi zao zikiwa zinafanana kwa...
Suala la nahodha wa Yanga, Nadir Haroub Ally maarufu kama Cannavaro kukutana na Mwenyekiti wa zamani wa Yanga, Yusuf Manji limezua mjadala mkubwa.
Wako wanaoamini kuwa Cannavaro ambaye aliongozana na benchi la ufundi, walikwenda kumjulia hali Manji katika mahakama ya Kisutu.
Wako Wengine...
Mabadiliko ya ratiba mpya ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) yaliyotolewa muda mchache uliopita(leo Jumatatu 4/9/2017) na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) yanaonyesha kuwa mechi zote za Azam FC za nyumbani dhidi ya Simba na Yanga zitafanyika kwa mara ya kwanza ndani ya Uwanja wa Azam...
Vipi Mambo!
Je una APP file (apk) na ungependa ku list katika Google play? NITAKUSAIDIA
Mimi namiliki Google Developer akaunti ambayo ni trusted by Google
GOOGLE HUCHAJI 25$ Kuchapisha App ktk playstore
Mimi Nitapublish APP Yako ktk akaunti yangu kwa 5$ tu hapo utakuwa umesave 20$
App itakuwa...
Vipi Mambo!
Je una APP file (apk) na ungependa ku list katika Google play? NITAKUSAIDIA
Mimi namiliki Google Developer akaunti ambayo ni trusted by Google
GOOGLE HUCHAJI 25$ Kuchapisha App ktk playstore
Mimi Nitapublish APP Yako ktk akaunti yangu kwa 5$ tu hapo utakuwa umesave 20$
App itakuwa...
Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga Muholanzi Hans van Pluijm. Ameanguka Saini ya Miaka Miwili Kuifundisha Timu iliyopanda Daraja (VPL) Mwaka huu Singida United.
Nafikiri huu utakuwa ni Mpango wa Muheshimiwa Kutoka Singida kwani yeye ndiye aliyemrudisha Pliuijm Yanga baada ya Kocha huyo kujiuzuru...
Fuatilia Live Update ya Mechi Kati ya Simba Na Mbeya City (Full Time Mbeya city 2 Simba 2)
MPIRA UMEKWISHAA
-Agyei anaokoa vizuri mpira wa kona na kuwa kona tena.Ungeweza kujaa moja kwa moja, inachongwa tena, anaokoa tena Agyei
-Anaingia Semtawa lakini Simba wanaokoa inakuwa konaaa
-Nchimbi...
I found this Huge Collection of Latest Materials to share with you Guys!
Materials include Books and Exam Practice and revisions from F1 to P7
Governance risks and ethics
Audit and assurance
Taxation
Corporate and business Law
Cost accounting
Management
Financial reporting
Accounting
Etc...
TV Gani inaonyesha pambano kati ya Yanga na Ngaya Uwanja wa Taifa.
Dakika 25 Ngaya wanapata Bao. Ngaya 1 yanga 0
Kuna kitu kinatolewa katika goli la Ngaya.. sijui ni uchawi au nini
Chirwa anakosa Goli
Yanga wamekuwa Wazito sana
Dk 32 Saidi Achimu Anapiga krosi inamtoka Dida ni hatari...
BAADA ya kupenya kwenye raundi ya 16 ya michuano ya Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup), Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati,Ngao ya Jamii na Mapinduzi Azam FC, imepangiwa kucheza na Mtibwa Sugar katika kuwania robo fainali ya michuano hiyo.
Mechi nyingine za ASFC;
Februari...
HATIMAYE timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Tanzania, Serengeti Boys imerejeshwa kwenye michuano ya Mataifa ya Afrika kwa vijana wa umri huo.
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi akiwa mwenye furaha kubwa amesema jioni ya leo; "Timu ya Taifa ya vijana umri...
Ubingwa wa Mapinduzi unaifanya Azam FC kufikishaTAJI LA PILI msimu huu na hii ni baada ya Agosti mwaka jana kutangulia kwa kutwaa Ngao ya Jamii kwa kuifunga Yanga kwa mikwaju ya penalti 4-1 kufuatia sare ya mabao 2-2 ndani ya dakika 90
Hii ni Rekodi ya pili mfululizo kwa Azam FC KUTWAA TAJI...
KUELEKEA fainali ya michuano ya Kombe la Mapinduzi keshokutwa Ijumaa, Kocha Msaidizi wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Idd Nassor Cheche, ameweka wazi kuwa wanajua namna ya kuikabili Simba na kupata matokeo mazuri kwenye mchezo huo.
Cheche ametoa kauli hiyo kwenye mazoezi ya...
KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, mchana huu imemtangaza, Aristica Cioaba, kuwa Kocha Mkuu wa kikosi hicho.
Cioaba, 45, anakuja Azam FC kurithi mikoba ya Mhispania Zeben Hernandez, aliyesitishiwa mkataba pamoja na benchi lake zima la ufundi.
Kocha huyo atasaidiana na makocha...
Leo Rais Magufuli kapiga simu akitokea Chato akiwapongeza kwa kazi nzuri.
Pia amewapongeza wadau mbalimbali waliokuwepo live katika kipindi hicho kilichokua kinaruka live kutoka White Sands Hotel.
Wadau waliokuwepo katika kipindi ni ATCL, Vodacom, Bima, NHC, Jambo etc.
Uongozi wa Klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati AZAM FC Leo Limesimamisha Benchi zima la ufundi la Timu hiyo linaloongozwa na Kocha mkuu Mhispania Zeben Hernandez kutokana na Mwenendo mbovu wa Timu.
Wakati huu ambapo uongozi wa Azam FC upo katika mchakato wa kusaka kocha mpya, kikosi hicho...
Draw iliyofanyika Misri Leo inaonyesha Kuwa AZAM FC wana Lambalamba ni moja kati ya timu 12 Zitakazoanzia Round ya Kwanza ya Michuano ya CAF Confedaration Cup 2017. Timu zingine 40 zitaanzia na stage ya Mtoano (preliminary stage)
Azam itacheza Mechi ya Kwanza Tarehe 10–12 March 2017 na mshindi...
Mwenyekiti wa zamani wa Simba Ismail Rage ameitaka klabu ya Simba kwenda mbele zaidi kudai haki yao na si kukubali kiasi cha shilingi milioni 50 kama fidia kama livyoamriwa na Kamati ya Katiba, Sheria na Hadhi za Wachezaji.
Katika hatua nyingine Rage amesema, Yanga inatakiwa kupoteza pointi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.