Ndugu wadau,
Kwa yeyote mwenye connection ya kazi ya umeme ya size ya chini na ya Kati, iwe ya nyumba au kiwandani, akiweza kuni connect nitakupitia 30 percent ya value ya kazi ukitoa materials. Kazi yote nitaifanya kwa ufanisi mkubwa. Kumbuka na risiti ya efd inatolewa inapohitajika. Please...
Ndugu wadau,
Kwa yeyote mwenye connection ya kazi ya umeme ya size ya chini na ya Kati, iwe ya nyumba au kiwandani, akiweza kuni connect nitakupitia 30 percent ya value ya kazi ukitoa materials. Kazi yote nitaifanya kwa ufanisi mkubwa. Kumbuka na risiti ya EFD inatolewa inapohitajika. Please...
wana JF naombeni kazi tafadhali. kazi za ukandarasi wa umeme majumbani na viwandani tulegeze vyuma. kwa mawasiliano simu 0715050539 karibu sana na kongole sana
Our services include but not limited to;
a.switchgear services
b.testing and inspections
c.substation construction
d.machinery...
Wakuu eneo la ekari 1.5 linauzwa kerege matumbi bei mil 45 taslim katika eneo hilo kuna banda la sqm 150 lililokamilika na jingine kama hilo halijakamilika.
Pia kuna banda la sqm 55 na banda la vyumba 2 kwa ajili ya kuishi eneo linamilikiwa kihalali lakini halina hati eneo lipo kerege matumbi...
Mimi ni mpenzi wa muziki wa dansi wa bongo na Kongo Niko determined kujua kuimba nyimbo hizo just for fun. ni wapi naweza kujifunza na kufanya mszoezi?
batoOl balobi wenge musica ezokende na mayi
Wanajukwaa nimechanganyikiwa. Ndege yangu aina ya Dash 8 imepotea katika mazingira ya kutatanisha, niliipaki Airport ya Uwanja wa ndege.
Mwenye taarifa anipm tafadhali.
wadau nasikia mwaka huu valentine day imepangwa kuwa tarehe 15 feb badala ya 14 feb. je ni nini kimesababisha mabadiliko hayo au ndiyo yaleyale ya CCM kusherehekea tarehe 2 badala ya 5 feb.
Ndugu wanajamii,
kwa anayefahamu sehemu inayouza vifaa madhubuti vya umeme kwa ajili ya installation za majengo tafadhali anijuze. Na je ni cable za kiwanda /brand/maker gani ni imara kwa commercial installations?
Asanteni na karibuni.
Ndugu wanajamvi, Mimi ni mhandisi umeme mwenye uzoefu wa miaka zaidi ya kumi (10) katika viwanda na migodini. Ninahitaji kufanya kazi katika construction industy kwa kujitolea ikiwa ni sehemu ya kuongeza uzoefu (niliwahi kuwa katika sector hiyo kwa miezi tisa siku za nyuma) vilevile katika...
nakumbuka enzi zake kina kofi olomide, defao, awilo walitamba sana kwenye tuzo hizo.lady jaydee aliwahi perform na wimbo wake wa machozi:nailazimisha furaha ingawa moyoni na majonzi nani wa kunifuta machozi.., was so great.nini kilitokea mpaka ikawa kimya?
jamani kama kuna mtu anaukumbuka ule wimbo tulikuwa tunapiga kwenye gwaride la shule ya msing enzi ya mwalimu Kajiba. wimbo wenyewe ulikuwa wa mwndo wa pole. unaitwa baba paka nyau, please!
Ndugu wanajamii, salaam.
Kwa mwenye kuweza kunisaidia kupata chumba kwa ajili ya ofisi namkaribisha.
Nahitaji chumba cha ofisi kwa ajili ya kijikampuni changu.
Mahali-Dar es salaam
Eneo-kuanzia mwenge-mikocheni-ubungo mpaka city centre
Chumba kinaweza kuwa ghorofani ila isizidi ghorfa ya 3...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.