bashukuru wachangiaji wote ila nimempenda sana najma na thread yako unaweza kutupa ukweli zaidi ni chuo gani kiko wapi maana naona kuna contradiction hapa sasa , tafadhali
iyo ni habari kwenye gazeti ambalo nimesoma kuwa ni binti mwenye mafanikio. sababu amemaliza masters unchini uingereza, mfanyajkazi wa BOT na ni msanii mzuri tuu. but i gad i news kuwa uyu binti itakuwa anabebwa na sababu iyo masters inasemekana alifeli ila ana cheti cha masters ambacho...
VIKKY KAMATTA DADA MWENYE MAFANIKIO MAKUBWA
Nimesoma kwenye gazeti moja hivi kwenye page ya katikati inaeleza kuwa uyu dada yeye anamafanikio makubwa sana kwaville amemaliza masters ya uingereza na kuafaulu vyema, na muimbaji mahili anaeijuwa kazi yake, na mfanyakazi wa BOT. ila nilipata NEW...
VIKKY KAMATTA DADA MWENYE MAFANIKIO MAKUBWA
Nimesoma kwenye gazeti moja hivi kwenye page ya katikati inaeleza kuwa uyu dada yeye anamafanikio makubwa sana kwaville amemaliza masters ya uingereza na kuafaulu vyema, na muimbaji mahili anaeijuwa kazi yake, na mfanyakazi wa BOT. ila nilipata NEW...
:mad:maisha ya watanzania miaka ijayo yatakuwa mazuri sana kwa wale wa hali ya chini , ila yatakuwa mabaya sana kwa wale wa hali ya juu ,kwanini nasema hivyo kwavile wananchi wanaelewa hata wale na songomkole nini ufisadi,wapi upo na nani anahusika hata wale waliokuwa na mategemeo ya kufanya...
hahahahhahaha...............hakuna lisilokuwa na mwanzo likakosa kuwa na mwisho????????????????? ukitaka kuongea UFISADI UMASIDA. itakuwa makosa kama utawasahau wale wakuu wa zile department 4
1.
2.
3.
4.
kama tanzani tutaka kimya kuhusu mafisadi hatutaendlea kimaisha hata , kidogo, kwanini serikali inachukuwa mda mreru kutowa majibu ya kesi za ufisadi, kwanini rushwa aiishi kwa kutokomeza ufisadi kwanini,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.