Haijalishi, na hayo mambo yapo kila sehemu BUT kuzaliwa familia masikini hakukuforce wewe uwe masikini pia ilhali unauwezo wa kujitajirisha. Ilimradi umekua na umepata akili... zuri na baya unalijua then baya achana nalo.
Hormones imbalance wala sio ushoga, mimi nazungumzia ushoga. Kuzaliwa namna yoyote sio kosa. Mashoga wengi mnaowaona wala hawana hormones imbalance isipokuwa tabia tu za kujizoesha ndo zinawafanya wawe hivyo. So hakuna namna yoyote ya kuwatetea mashoga kwa hoja ya hitilafu za hormones.
Wazungu wamejua hilo ni tatizo lakini wamelipenda ndo maana wanapromote, sisi tumejua pia ni tatizo kubwa lakini hatulipendi na hatutaki hata kusilikia. Yaani mtu azaliwe na tabia za kiwizi wizi ndo tumchekee tu kwamba ndo tabia yake binafsi???
Pesa mnatafuta nyinyi halafu mwisho wa siku mnakuja kushare na mafundi dishi bure. Wanawake unawajua au unawasikia. Omba upate mwaminifu kwanza kisha tafuta hela.
Shetani ni kiumbe mtenda maovu hata binadamu anaweza kuwa shetani kama mfumo wake wa maisha alioichagua ni wa laana tupu.
Kwahiyo kama hujawahi muona tafadhali omba hivyo hivyo usimuone.
Muulize mtoa post usiniulize mimi. Mimi nimejibu kulingana na swali. Yeye ndo amesema ya kishetani na mimi nimejibu kulingana na vitu vingine vya kishetani vinavyopendwa kama "beer" nk.
Kwanza ni kuhakikisha Tz hakuna mtu yoyote anayesapoti hivyo vitu kushika aina yoyote ya uongozi au madaraka, hata kama msemaji wa familia wala MC. Wasipate nafasi yoyote ya wadhifa katika jamii. Kwasababu watu kama hao wakishika madaraka ni rahisi kuruhusu hivi vitu kwakuwa wao wanavipenda au...
Ikiwa wewe unaona ni mungu tufauti ...kama nilivyosema haya ni mambo ya kiimani halazimishwi mtu, ukitaka kuchambua kukinzana kwa aya zilizopo kati ya vitabu vyenu vya sasa na Quran ni kweli utakuta tofauti nyingi na ndo maana sisi hatufuati hizo modified copies. Mi sikulazimishi na wala wewe...
Sasa wewe unatafuta darasa lingine, hapa tunazungumzia msimamo wa Qatar na kuhusu maandiko kuibwa au kutoibwa. Halafu umejijibu mwenyewe. Haijalishi yawe yameandikwa kwa mkono au la ila mwisho wa siku yameshushwa kama ulivyosema kutoka kwa Mungu kupitia malaika wake labda terminology ya...
Shida ni hilo neno kuiba, japo hatujui unamaanisha nini in deep mind ila ukweli ni kwamba Mungu wa Taurat na Injili, Quran nk ni huyohuyo mmoja isipokuwa kutokana ni upotofu wa binadam hizo injili zilikuwa corrupt katika baadhi ya vipengele hivyo ikashushwa Quran ili kuweka bayana. Anyway kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.