Waswahili walisema, Kazi ni kazi, mradi mkono uende kinywani!
Facts za mleta mada!
Join Date : 20th April 2015
Posts : 55
Rep Power : 312
Likes Received52
Likes Given0
Mzee mwanakijiji, watanzania wote sio mabwege, kama wengine wanavyofikiri! Bunge lilikuwa halali kukataa kutekeleza uamuzi haram! Yamkini, Bunge la jamhuri litakuwa limekosea kudharau amri ya zuio la mahakama kuu kama zuio lenyewe ni halali kisheria! Hivi mahakama inaweza kutoa amri ya kuzuia...
"The Constitution is the basic or paramount law of the land and cannot be overriden by any other law. Where, as in the above provision, the enjoyment of a constitutional right is "subject to the laws of the land." the necessary implication is that those laws must be lawful laws. A law which...
Haki haiombwi ila inadaiwa. Watu wanafanya maigizo Dodoma wanadhani wanatengeneza katiba! Hawa wenzetu Waislamu wataomba sana, lakini ombi lao halitaingizwa kwenye katiba. Chezea nyinyiemu wewe!
Hivi ukawa warudi bungeni wakajadili nini? Katika hotuba yake ya kuzindua bunge, hili la walaji wa katiba, rais wetu, alieamua kuvaa joho la ccm si alisema wanaotaka serikali 3 wasubiri hadi atoke madarakani? Kuna nini tena cha kwenda kujadili hapo? Wadanganyika tuwe serios!
Huu ni wizi mtupu! watu wenye kufanya tafakuri hawawezi danganyika kiraisi hivyo, kwa propaganda za huyu IPTL. The issues na facts are very simple:-
1. Ni kweli kuwa fedha ziliwekwa kwenye akaunti ya Escrow zilikuwa zinalipwa na TANESCO kutokana na mgogoro wa gharama za malipo kati ya TANESCO...
Uamuzi wa kumfungia Wassira kugombea uongozi wa serikali kwa miaka 5 kwa kosa la rushwa haujawahi kufutwa na mahakama! Mahakama ya rufaa ilitupa rufaa yake na ilimfungia kwa miaka 5 na alitumikia kifungo hicho. Kumbukumbu za mahakama ziko wazi. Kasome kesi ya Stephen Wasira v. Joseph Warioba...
Vigezo au matumizi mabaya ya madaraka? Chama kitasajiliwaje bila kuwa na katiba? hata usajili wa muda huwezi pata bila katiba! Sheria inasema hivi:
Application for provisional registration
(1) Any person applying for the provisional registration of a party shall submit to the Registrar an...
Ukweli utakuweka huru na ukweli utabakia ukweli hata vibaraka wa wala rushwa wakijaribu kuficha au kuupindisha. Ukweli halisi ni kuwa Wasira hakushinda rufaa yake! Mahakama kuu ilimpata na hatia ya kujihusisha na vitend vya rushwa wakati wa uchaguzi ikamfutia ubunge, lakini haikumpiga marufuku...
Well said mkuu! Kumbe ccm bado wapo wachache wenye fikra huru na wanaoweza kujenga hoja na si kuleta vioja vya matusi kushambulia mleta mada au wenye mawazo tofauti!
hii umecopy na kupaste maana hata kwenye uzi wa dr slaa, akiwa dodoma umechangia hiki, neno kwa neno! Wakati chama cha mabwepande kimelala wenzao cdm wanazunguka tanzania nzima kuimarisha chama kwa mgongo wa katiba mpya!
Kama hawa makumi anaosema mchumi daraja hewa kilaza, aka nchemba, walikuja kusikiliza Katiba mpya bila kivutio chochote kutoka Chadema ni makumi, na kwa picha alizoonyesha yeye kilaza akidai sijui mamia, walikuja kuiona mechi ya simba bure, basi ajue bila rushwa ccm imekufa si Iramba tu bali...
Chemba ikamtoe, hana kazi yeyote anayoweza kufanya. He is neither a credible witness, nor a reliable witness. Hes is useless, ameshatumika kama kondomu! Kama watu wanalipua kanisa Arusha wanaua waumini wakisali lakini hawashtakiwi kwa makosa ya ugaidi, inawezekana vipi mtu atuhumiwe kufanya...
Kweli kabisa, huyu mama yuko right! Bungeni wabunge wa magamba si waliwaita wenzao wa cdm mbwa na magamba mwingine akasema mchungaji msigwa ni mchungaji wa nguruwe? Spika na nyie wanafiki mnaolalamika hapa mlichukua hatua gani? Si mlichekelea! she is absolutely right!
Mh Mnyika, ni vizuri umeweka kumbukumbu sawa, lakini usipoteze muda kulumbana na vilaza ambao wanataka kukutoa ndani ya Mada. Nape ni kama nepi tu na kazi ya nepi inajulikana! Hata katibu mkuu wa zamani wa CMM, Yusuf Makamba, alishasema Nape amelaaniwa mbinguni na duniani. Msipoteze muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.