Nime - experience maisha yangu yote nikiwa na stress hata kama ni nzito kiasi gani hatua ninazochukua huwa zinanishangaza baada ya stress kuisha;
1. Huwa nalia weee huku naomba mungu aniepushe na kikombe hicho kwa wakati huo,
2 . Baada ya kuchoka kulia nafanya usafi vizuri ndani ya nyumba hasa...
Kwa mfano, wale walioko kwenye ndoa labda baba na mama wote wanapenda michepuko au mmoja wao ni bingwa wa michepuko mbaya zaidi wanafika mbali hata kinga kwao inakuwa habari gani hawawezi kula pipi na maganda. Pia uhusiano wenu ni long distance labda mnaonana kwa mwezi au miezi kadhaa.
Je...
Jamani nimechoka kuumizwa pua na majirani zangu na huuu ukata
Kila siku vitunguu swaumu kunukia ,pilau ,Biliani sijui Nyama tu
Napitisha mchango wa bajeti ya nyama chonde chonde mchango angalau December yote nipate meat and Fish
Nitawakumbuka katika ufalme wangu marafiki Mpesa,Tigo Pesa...
Habarini za kazi ,business na wale walioko shule
Leo napenda kuangalia hili swala zima la kina dada wanaofanya Diet ili angalau kuufanya mwili uwe mzuri na kuepusha magonjwa kama BP Nk Nk pia kwenda na fashion za urembo
Ni aina gani hasa yaa vyakula na matunda ,pia diet ipi itumike angalau...
Poleni na majukumu ya kila leo mashostito pale tunapokuwa na jambo lazima kushare pamoja
Leo nina jambo kidogo la kushare kwa sisi ambao tunashikilia Gurudumu la ndoa mambo machache ya kukumbushana na kuelekezana,
Kumekuwa na kasumba ya kina mama wakiwa saloon au popote kwenye mikusanyiko ya...
Wapenzi mie upishi zamani nilikuwa sipendi kabisa ha ha ila sasa ndio nimeanza kuwa na Interest za kupika pika vyakula mbalimbali Ila kuna vitu napenda sana kujua,hasa hapa nilipo tukiagiza Keki tunaletewa ugali si ugali ,keki si keki,nimewahi kupika keki ndogo tu ya kawaida kwa family kwa...
Mwenzenu nimeshapima magonjwa yote last week Jtano nimepima ,Ijumaa na Yesterday hakuna ugonjwa wowote unaonekana ,
Malaria,UTI,Typhoid,Amoeba ,HIV ,Pregnant ,Stress Free .Not so sure) Depression nimeshajifanyia utafiti ,fatigue sioni chochote
Lakini ninaumwa mwili wote ,Ninasikia...
Kama mnavyojua akina dada na mambo ya Selfie simu inaniangusha tangu nimenunua nashindwa kujipiga Picha- Front Camera nikiset inakuwa Black tu wala haionyeshi chochote
wataalam nisaidieni please
Ijumaa Njema
Description
The contrasting textures of crunchy broccoli and creamy, soft avocado make this quick salad interesting and delicious.
It is rich in monounsaturated fat and full of protective phytochemicals and fiber. Don't forget to use the broccoli stems, which, if properly trimmed, are as...
Habari zenu wadau ni masiku mengi sijatia mguu ndani hapa ila leo naomba msaada.
Ni mchanganyiko upi wa vyakula unaomfaa mtoto wa kuanzia miezi mitano...
Maana wengine wanasema Dagaa, mahindi, maharage, karanga nk ni
mahindi, soya, karanga, ulezi, mtama n.k.
Mahindi ya bisi, uwele, ngano...
Bollywood actress, Jiah Khan, 25, committed suicide by hanging herself from a ceiling fan in her bedroom at her residence in Mumbai on Sunday June 2nd when her mother and sister were not home.
A six-page suicide letter was found by Jiah's mother at their home a few days after the suicide...
Nataka yale mashati ya gucci sijui ni chui chui kama ya rweyemamu, na ile mikanda ya chumma chumma......kama ya
hahaha jamani mwenzenu tangazo hili la voda huwa naburudika sana
Copy Bishanga Bashaija ..JF
KOKUTONA
Katerelo
MUZEe ya kukagua babu Asprin...
Haya kile kilio chetu wafanyakazi kumbe yupo yule anayezidi kukipigilia misumali
Sina mengi nyie wenyewe mtaamua kama huyu kijana ni mtu mzuri
mmeshindwa kurudisha pesa zilizo kwenye mabenki ya nje bado mnataka hela zetu
==========================================
Mjadala wa Zitto Kabwe...
1. MANGO - Happily married
2. ORANGE - Single and searching
3. LEMON - Having a sex partner no strings attached
4. STRAWBERRY - In a relationship but in love with someone else
5. PEAR - Still in love with your ex
6. CHERRY - In a relationship for wrong reason you just don't know why you still...
Wapendwa hebu nisaidieni juu ya hili...
Binti yangu wa kazi mwenyeji wa Sehemu za Ngara kila nikienda likizo na yeye nampa likizo...
jmos karudi toka kwao akiwa mnyonge na amepungua sana ,nikaomba kujua linalomsibu,
Bila shida akanambia dada nina tatizo
tarehe 4-1-2013 nilipima huko kwetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.