Search results

  1. M

    Unafiki wa wana jf kwenye uchawi ( ulozi ) katika mapenzi

    hii habari ya kweli kuna jamaa yangu alichoka huku ugenini tunakoishi,akaamua kuludi bongo kwa gia ya uganga,aliwapata sana wateje,tena wateja zake wakubwa walikuwa kina mama, wengi walikuwa wanataka dawa za mapenzi.jamaa alikuwa anawachanja nanii zao balaa.
  2. M

    Wanawake na kuwafokea waume zao

    tutegemee vifo vya mapenzi kuongezeka kila kukicha
  3. M

    Wanawake na kuwafokea waume zao

    hivi tujiulize sisi tuliyezariwa vijijini miaka ya nyuma, nani aliwahi kumuona bibi yake anamfokea babu yake? Au mama yake anamfoke baba yake?
  4. M

    Wanawake na kuwafokea waume zao

    Hivi huwa mnajisikiaje unapomfokea mume wako kama mtoto mdogo tena mbele za watu? halafu utakuta mwanaume kanywea kama kalowa maji, inasikitisha sana ndoa za sasa hivi hazina tena mwanamke kumuheshimu mume.
  5. M

    MJADALA: Kwanini Wanawake wanaongoza kuwa na majini/mapepo kwa kasi kuliko Wanaume?

    Naomba kuuliza hiki kitu, hii miaka ya sasa hivi kalibu kila mwanamke iwe mashuleni, vyuoni,makazini na hata sehemu za biashara wanasumbuliwa na haya matatizo ni kwa nini?
  6. M

    wanawake na wanaume kundi gani linaloongoza kutoka inje?

    Katika tathimini yangu nimeona kundi la wanawake ndio linaloongoza zaidi kutoka inje, ukilinganisha na wanaume,mfano utakuta mwanamke mmoja anawanaume zaidi ya wanne tena wa kudumu kwa wakati mmoja bila wao kujijuawa, ni ngumu kwa mwanaume kuwa na wanawake watatu kwa wakati mmoja kwanza ni...
  7. M

    Asante Ndimara Tegambwage umenena vyema

    ndimara ulichoongea ni ukweli mtupu ingawa kuna watu walizaliwa kwa ajili ya kupinga kila kitu wacha wapinge mwisho wake watauona
  8. M

    Hamuwezi kuamini jamani...

    umesahau kutuambia hata usingizi hukupata maana ulikesha macho
  9. M

    Naitaji kununua gari msaada

    nashukuru kwa ushauli wenu
  10. M

    Ni miaka 25 sasa sijawahi kuingia kwenye uhusiano

    huyu jamaa atakuwa anapigaa punyeto balaa
  11. M

    Tatizo la wanawake kutoshika ujauzito

    Nashukuru mkuu tatizo wife ana miaka 50 sioni hata dalili ya kutema mate tumemaliza hospitali zote vipimo vinasema tuko fiti.
  12. M

    Kwanini wanawake hupenda kuzira chakula?

    Hii ni kalibu wote toka enzi za bibi,mama,dada mpaka wake zetu huwa inatoka na nini tofauti na wanaume
  13. M

    Tatizo la wanawake kutoshika ujauzito

    Unaweza ukawa unaishi duniani lakini huijui dunia, ngoja upate matatizo ndiyo utaijua dunia
  14. M

    Naitaji kununua gari msaada

    nina kama milion10 naitaji kununua gari za kuagiza inje ya inchi mfano japan, hiyo hera nimetenga pamoja na ya kulipia ushuru,naombeni mnisaidie inakuwaje utaratibu wa kuagiza na aina ya gari nzuri na garama za ulipaji ushuru,nilikuwa naitaji gari ya familia
  15. M

    Tatizo la wanawake kutoshika ujauzito

    Ukweli wanawake wengi wamesaidiwa na hizi dawa sema yawezekana mtoaji wa dawa huwa hasemi zinaenda kufanya kazi gani? Unakuta mtu anatumia bila kujua faida na hasara.
  16. M

    Tatizo la wanawake kutoshika ujauzito

    Hizi dawa ni maarufu sana kwa kina mama wanaoshindwa kupata mimba, naomba mnaozijua mnifafanulie huwa zinafanyaje kazi yake mpaka mtu anashika mimba
  17. M

    Desemba 25: Je, ni siku aliyozaliwa Yesu au twaadhimisha tu kumbukumbu?

    nilichojifunza dini ni utumwa wa kiroho nilishasema siku zote nitamtamfuta mungu kwa kutumia akili yangu sio kufundishwa na mtu bila kuuliza swali
  18. M

    Hivi mtu akifa huwa anaenda wapi?

    naamini sitokuja jua kama nilivyokuwa tumboni kwa mama yangu sawa na nitakavyokuwa kabulini
  19. M

    Hivi mtu akifa huwa anaenda wapi?

    Hivi hamna mwenye jibu?
  20. M

    Hivi mtu akifa huwa anaenda wapi?

    kwa hiyo hizi habari za kusema tutafufuka kumbe ni uongo
Back
Top Bottom