hii habari ya kweli kuna jamaa yangu alichoka huku ugenini tunakoishi,akaamua kuludi bongo kwa gia ya uganga,aliwapata sana wateje,tena wateja zake wakubwa walikuwa kina mama, wengi walikuwa wanataka dawa za mapenzi.jamaa alikuwa anawachanja nanii zao balaa.
Hivi huwa mnajisikiaje unapomfokea mume wako kama mtoto mdogo tena mbele za watu? halafu utakuta mwanaume kanywea kama kalowa maji, inasikitisha sana ndoa za sasa hivi hazina tena mwanamke kumuheshimu mume.
Naomba kuuliza hiki kitu, hii miaka ya sasa hivi kalibu kila mwanamke iwe mashuleni, vyuoni,makazini na hata sehemu za biashara wanasumbuliwa na haya matatizo ni kwa nini?
Katika tathimini yangu nimeona kundi la wanawake ndio linaloongoza zaidi kutoka inje, ukilinganisha na wanaume,mfano utakuta mwanamke mmoja anawanaume zaidi ya wanne tena wa kudumu kwa wakati mmoja bila wao kujijuawa, ni ngumu kwa mwanaume kuwa na wanawake watatu kwa wakati mmoja kwanza ni...
nina kama milion10 naitaji kununua gari za kuagiza inje ya inchi mfano japan, hiyo hera nimetenga pamoja na ya kulipia ushuru,naombeni mnisaidie inakuwaje utaratibu wa kuagiza na aina ya gari nzuri na garama za ulipaji ushuru,nilikuwa naitaji gari ya familia
Ukweli wanawake wengi wamesaidiwa na hizi dawa sema yawezekana mtoaji wa dawa huwa hasemi zinaenda kufanya kazi gani? Unakuta mtu anatumia bila kujua faida na hasara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.