Wafuasi 28 wa Chadema wamefikishwa mahakamani na kusomewa mashitaka yao kisha kurudishwa gerezani kwa kukosa dhamana kwani ilikuwa wazi.
Mapema wiki hii mh Mnyika alinukuliwa na vyombo vya habari akilitaka jeshi la polisi kuwafikisha mahakamani kuliko kuendelea kuwashikilia, tulitegemea...
Habari za majukumu wana JF.
Tunashukuru kwa kupewa updates za maendeleo ya matibabu ya Mh Tundu Lissu pamoja na gharama zake.
Leo nimekuja na hoja ya kutaka kujua maendeleo ya matibabu ya dereva wa Mh Tundu Lissu, Kwa takribani miezi miwili sasa tangu aanze matibabu ya kisaikolojia huku...
Baada ya Diamond kuubana wimbo wake wa Zilipendwa kusubiri Ally Kiba atoe kibao chake cha Seduce me ndiyo autoe wimbo wake ili kuufunika wimbo wa Kiba, Kinachoendelea sasa ni kwamba jaribio limeshindikana.
Mpaka sasa hivi wimbo wa Seduce me una viewers 4.2m na ni no 1 trending wakati Diamond na...
Habari nzuri kwa wapenzi wa Arsenal ni kuwa dirisha la usajiri limefungwa muda huko England muda huu na Wenger amefanikiwa kufanya usajiri wa namba yake ya simu
Sio tu kwamba wana madaraka makubwa ya kisiasa nchini mwao, bali wana elimu kubwa kwenye fani mbalimbali jambo linalothibithisha usemi wa Kiingereza wa “readers are leaders,” yaani viongozi ni watu wenye hulka ya kusoma sana.
Hii ni orodha ya wakuu wa nchi za Afrika wenye elimu kubwa zaidi...
Pole na majukumu wana JF.
Nimeona tu share hiki kisa nilikutana nacho mwanzoni mwa mwezi huu.
Nilikuwa Mwanza airport kwa safari ya kurudi Dar. Baada ya kucheck in nikiwa nimekaa kusubiri kuingia kwenye ndege pembeni yangu alikuja akakaa bint mzuri tu akiwa busy na simu yake, hakunisalimia...
Nana Akufo- Addo aapishwa kuwa rais mpya wa Ghana
Nana Akufo- Addo ameapishwa leo kuwa rais wa mpya wa Ghana. Akufo-Addo ameahidi kupunguza kodi ili kufufua uchumi wa nchi hiyo kando na kuangamiza ufisadi serikalini
Kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 72, na ambaye ni wakili wa zamani wa...
Kama kawaida yao Wakenya wameanza kusambaza picha za daraja letu la Kigamboni lililoanza kutumika jana
Kama picha inavyoiona hapo chini wamefika mbali na kuliita daraja letu pendwa lililojenjwa na mfuko wa jamii NSSF kuwa ni Gathara Bridge lililoko karibu na nyandalua primary school
Watanzania...
ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Fredrick Mwakalebela mwishoni mwa wiki iliyopita alichukua fomu ya kuwania ridhaa ya ubunge wa Jimbo la Iringa mjini na kuwatahadharisha wenzake kuacha siasa za majitaka zinazofanywa na baadhi ya watangaza nia.
Mwakalebela ambaye mwaka...
Nyota ya Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli (CCM), Edward Lowassa, imeendelea kungaa baada ya Taasisi ya Samunge Social Sciences Research Center (SSSRC), kufanya utafiti na kubaini kuwa kiongozi huyo ni chaguo la kwanza kwa wananchi.
Utafiti huo uliofanywa miaka miwili kuanzia 2013...
Kuna tafiti mbalimbali zilizowahi kufanywa, lakini leo nimekuja na hii list ya Marais nane wanaoongoza kwa kuwa na utajiri mkubwa zaidi ya wenzao Afrika.
Iko ishu ya Marais kungangania madaraka kwenye nchi za Afrika, kingine ni hii ishu ya kujilimbikizia mali, japo wapo wanaokuwa nazo kabla...
KUMEKUCHA! Duru za kisiasa katika Jimbo la Arusha Mjini zinaeleza kuwa kuna uwezekano mkubwa wa mbunge anayeliongoza jimbo hilo kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Godbless Jonathan Lema kuangushwa katika uchaguzi mkuu ujao baada ya mfanyabiashara mkubwa (bilionea) mmoja...
Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe leo March 14 ametoa gari mpya ya kubebea wagonjwa (Ambulance)kama moja ya ahadi zake alipokuwa kwenye kampeni ambapo aliahidi kabla ya kumaliza kipindi cha uongozi wake atatoa gari hiyo.
Wakipokea msaada huo Michael Mwandezi ambaye ni Mkurugenzi...
Katika kipindi cha amplifier cha Millard Ayo Msanii wa filamu wa bongo movie amempiga dongo mbunge wa Arusha Godbless Lema kwa kile alichoda kuwa waziri wa maliasili na utalii mh. Lazaro Nyarando alikuwa anatanua Marekani na na aunty Ezekiel pesa za umma.
''Mtu mzima, mbunge mzima anakosa...
Tunasikitika kumpoteza member mwemzetu wa Jamiiforums. Jina lake halisi ni Subira Mbunda alikuwa mafanyakazi wa ITV.
Marehemu aliugua ghafla siku ya Christmas 25 December 2014 akiwa kazini ITV usiku na kukimbizwa hospital lakini alfajiri kuamkia tarehe 26 mauti yalimkuta.
Marehemu amezikwa...
Hakika hata siku moja huwezi kuuficha moto, kwani moshi lazima utakuumbua tu. Baada ya kuumizwa na aliekuwa mpenzi wake Millard Ayo baada ya kumfumania live jiki Mwanza, Millard aliamua kukaa single kwa muda mtefu na kutokuwa na wazo la kupenda tena.
Mapenzi yake kwa Jokate yalianza kwa kificho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.