[/B][/SIZE]
Ndugu yangu huyo dada alikudanganya na inawezekana hata mimba hajawahi kushika,hivi mjamzito kutembea na kopo la kutemea mate kila aendako ni makusudi kweli? kula udongo, kuvimba miguu, na mengine mengi ambayo hawatuambi!!! ni makusudi!! sidhani.tuwape hongera kwa kazi nzito ya...
Ndugu zangu wapendwa, nimekuwa na mawazo tofauti kuhusu serikali kuendelea kuwatunza viongozi wetu Raisi na Waziri mkuu pale wanapoondoka madarakani.Kwa mujibu wa sheria wanatakiwa kutunzwa hadi mungu anapo wachukua (wanapo fariki) dunia,mimi naona kwa sasa utaratibu huu ubadilishwe wawe...
Ni kweli dada yangu, kunafaida kubwa sana kama ukijua leo una ukimwi kuliko ukijua kesho.lakini bado siungi mkono kujiweka wazi ukiwa umeathilika kwa sababu bado jamii haijaukubali ugonjwa huu wa ukimwi,hivyo unapojiweka wazi kwa nia nzuri tu jamii inakutenga, hilo ndio tatizo la sasa.Lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.