We buku 70izo ni legacy za mkapa ilan ya ccm ya mwaka 2000 na barabara nyingi zilikua zimeshaanza kujengwa uyu barabara zake ni nzega tabora dodoma-tabora,dodoma-mbeya,mpanda kigoma,tabora kigoma,lindi mtwara, arusha-mara,tabora-mbeya aya izo zote tafuta iliyo kamilika usidanganye watu we are...
Kaka achana nae atasema lowassa aliomba msamaha wakati aligeukwa na wezi wenzake akatoka kwa kisilani cha kimasai watu wa katavi tunasema aliwaziria arafu uyu kilaza anauita msamaha......mtu gan toka tisini mpaka leo we bado mbunge zen unataka uraisi aya miaka ishirin na tano umefanya nn kwa...
Mkuu wambie uhamiaji wa mrudishe kwao si unaushahid au ukuona wenzio wa morogoro jana au "unaongea on air like a kindagaten student" jifunze kua na credible talks itasaidia ata chama chako cha magamba ku-restore trust
Uko sahihi mkuu manurse baadhi wamekula ela ndefu kwenye semina bt mi navyoelewa sector ya afya tatizo ni vitendea kazi ari ya kufanyakaz imeshuka sabab ya mazingira sio rafik ivo vingin ni temporaly thing never work...ayo ndo maCCM yanapenda kuonekana kuliko kutoa matokeo chanya kwa ordinary...
Wewe muda wa kuchangia mjengon ulitumia kumponda mbowe na tundu lisu zen ukaunga mkono mswada huo upite 100 leo unasema nn au ndo phd zetu za ckuizi au ni fake politics,nzega we need change goodbye no mercy this time rudi hospital
Sasa ivi unajadili katiba mpya unafikiri ilitoka kwenye ilan ya chama gan? Magamba wanaweza kua na mtazamo wa namna iyo that's y tunawashauli wajiandae kuwa shupav ili watoe constructive idea
Ayo mambo ya nyerere alisemaje bila kuangalia alisema kipindi gan ni akili za kuazimwa cha msingi je kwa sasa kuna aja ya kuendelea na muungano? Mm nasema no need mosi wanasiasa wetu wameproove kuwa kwa ukubwa wa tanganyika tuu ni kazi kutimizi mahitaji ya wananchi wote kumbuka ukichukua...
Wewe mburula mnyika kasema watu wengi walisema wanataka mabadiliko makubwa ya mfumo wa uongozi na utawala pia mageuzi makubwa ya ki utendaji lakini walikataa vyama ving, sasa tume iliona mabadiliko wanayotaka watu yanaweza kuletwa na vyama vingi tuu na ikagundua watu wengi awaelewi maana ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.