Huyu acha dharau zake zimtokee puani. Uongozi wa nchi unahitaji uwe na heshima kwa unaowaongoza maana ndo waliokuweka hapo. Sasa acha akapumzike na mifeni yake.
Kuna hoja gani zaidi ya katiba. Tatizo uvunjifu huu wa katiba na sheria za nchi zimezoeleka hadi watu tunawaona wanaoisemea kuwa wanapotosha.
Refa hawezi toka kati ya wachezaji wa timu pinzni. Katiba ililiona hilo na kuliweka wazi. So Mwigulu hana hoja zaidi ya kutaka kuendelea kuvunja katiba...
Kuna dhana iliyojengeka katika siasa zetu za kusajili wanachama hasa wenye majina toka chama kingine. Kibaya zaidi huwa haijalishi taswira aliyokuwa nayo huyo mwanachama kwa jamii alipokuwa upande mwingine.
Tuliona Nape alipokuwa CCM kama katibu mwenezi na baadaye waziri, tulimlalamikia sana...
Hili suala la watu wameshapokelewa maombi kabla ya uzinduzi halafu wanatakiwa kujaza upya ni utaratibu mbaya sana. Na kwa bahati mbaya hawapewi hata taarifa, wapo wanasubiri siku walizoambiwa kwenda kumbe huku utaratibu ushabadilika.
Naomba mtaalamu wa NIDA atayepita humu anicheki kando ndugu...
The only point missed by the head of the state and the government in general is to cover up all the gaps used by officials to get dirty money rather than spy lives of individuals. If they earn the money righteously why bothering to spy how they spend them. That's again the rules
Mambo ya mtu kwenda likizo nje ya nchi ni maisha binafsi na si busara kuingilia. Tunapoona wazungu wanakuja kutalii sio kwamba ni matajiri ila wanajipanga hata kwa miaka 5 ili wapate exposure kitu ambacho sisi tunaona anasa.
Kama anahisi wanaiba aache kuzunguka awachunguze na kuchukua hatua...
Hii tabia ya kubagua kazi ndo maana watanzania wengi hatutoki. Wewe unayeona kufua au kulea wazee hakufai ukiwa bongo kulima utaona hakufai. Yaani kuna kasumba ya kuchagua kazi kitozi. Mtu analala njaa kisa akili yake imejipangia kazi za kufanya.
Nadhani uhai wa binadamu ni kufanya kazi...
Nchi zetu hizi zinaendeshwa kwa kufanya vitu watu wengi tena walio wajinga au wavivu wa kufikiri wangependa kusikia. Haihitaji elimu kubwa kujua uhusiano wa idadi ya watu na maendeleo hasa katika hatua za mwanzo za kuendelea km tulizomo.
China ina idadi kubwa lakini huko nyuma walitumia idadi...
Kwa kumpongeza mtu kama Zuma na kukubaliana na yanaoendelea hapa nchini enzi hizo hutapata kitu. Enzi za watu kama hao unaowasifia zinaishia hawa waliopo. Kwa hiyo nadhani ushachelewa, mwambie mkuu akukumbuke tu sasa angalau ukuu wa wilaya
Hiyo haina tofauti na unafiki na woga. Siku moja aonekane hakusema kitu wakati unakuta hafurahii kinachotokea. Toka adharani useme tujue uko upande wetu au wao. Yesu alisema atakaye mwonea aibu na yeye atafanya hivyo mbele ya Baba yake. Kwa hiyo hata hawa waliotuacha tuumizwe wao wakiwa pembeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.