Kwa mpenda haki yeyote akiona yanayotendeka kuanzia bungeni, kwa msajili, polisi na baadhi ya viongozi wa serikali unajiuliza kama ipo haja tena ya kupiga kura.
Sent using Jamii Forums mobile app
Itafanya kazi vizuri ila kubadili kioo sio kama unavyofikiri au kuona wanavyobadili protector.
Kioo cha smart kimeungana na vikorokoro kibao na gharama ni kubwa.
Mfano nilipeleka s8plus kubadili kioo nikaambiwa laki 8 na ni kazi ya masaa 2 mpaka 3.
Nenda kwa mafundi wataalam vinginevyo...
Naiomba serikali yetu ya Tz ito msaada wa kama tani 500 au 1,000 za mahindi, maharage ili tuokoe maisha ya hawa jamaa. Ila kwa rushwa na ulafi ulioko huko sijui tani ngapi zitawafikia walengwa. Labda waturuhusu tugawe wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana maana sisiem inakusanya wingu jeusi la nape ,kinana, lowasa, membe,bashe na wengine wa aina hiyo. Watu walioko awamu ya 5 ila akili na misimamo yao ipo awmu ya 4.
Ni shida sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni tendo zuri na la kiungwana sana.
Kenya wana hali mbaya ya chakula kwa sababu ya ukame.
Wangepewa msaada wa chakula au wauziwe kwa bei nafuu kutoka akiba yetu kubwa ya chakula kama tani hata 1000.
Ndo jumuia italeta maana vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzigo aliouacha marehemu babu wewe ndo unaupapatikia?
Mja mwenye laana zote.
Hao hata siku hawazioni tena!!
Utaishia kuwachubua na kuwaumiza buree.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.