Search results

  1. L

    Kayoko mbona unazidi kupoteza ubora wako?

    Hajawahi kuwa na ubora wowote, hawezi kupoteza kitu ambacho hajawahi kuwa nacho Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
  2. L

    Kanikubalia lakini yuko busy sana

    Ana umri gani? Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
  3. L

    DOKEZO Wenye Hospitali binafsi wakataa kuwahudumia wateja wa NHIF kutokana na vifurushi vipya

    Unafahamu kwa Dar es Salaam asilimia 79 ya vituo vya kutolea huduma za afya ni vya binafsi? Kama watoa huduma wa vituo wakiitikia wito wa huu mgomo kikamilifu madhara yake yatakuwa makubwa sana Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
  4. L

    Camera ya simu gani naweza kuitumia kutengenezea filamu na vipindi vya YouTube

    Imechangamka, ni around $ 700 hadi 1,000 Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
  5. L

    Camera ya simu gani naweza kuitumia kutengenezea filamu na vipindi vya YouTube

    Mimi sio professional photographer/ videographer Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
  6. L

    Camera ya simu gani naweza kuitumia kutengenezea filamu na vipindi vya YouTube

    Nijuavyo Simu iliyowahi kutengenezwa kwa ajili hiyo ni Sony experia Pro - 1 , Mojawapo ya vitu vya kipekee ilivyo navyo ni HDMI Port, hii ni simu bora kabisa kwa videography na ilitengenezwa kwa ajili ya professionals. Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
  7. L

    MREJESHO: Simuelewi mume wangu

    Ndoa sio ngumu ila umeolewa na mtu asie sahihi,sio kila Mwanaume ana sifa na uwezo wa kuwa mume na pia sio kila Mwanamke ana sifa za kuwa mke Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
  8. L

    Ushauri kuhusu mwanamke mkavu ukeni

    Mojawapo ya makosa makubwa kwenye mahusiano ni kufanya ngono na mtu ambae una dhamiria kumuoa au kuolewa nae. Kama mtakuja kuoana usitegemee huyo mwenza wako atakuamini kwa sababu anajua huna uwezo wa kudhibiti hisia na matamanio yako ya ngono. Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
  9. L

    Serikali yatangaza mlipuko wa Ugonjwa wa Surua Nchini

    Ndio mkuu,kwa mujibu wa miongozo ya kitaifa na kimataifa iliyopo (threshold) akitokea hata mgonjwa mmoja tu aliethibitika kuwa na surua tayari inachukuliwa kuwa ni mlipuko (Outbreak) Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
  10. L

    Abiria wagoma kushuka kwenye kituo cha mabasi cha Magufuli, Mbezi Louis

    Usafiri wa UMMA ni huduma ya kijamii kama zilivyo huduma za Afya, Elimu,Maji na Masoko.Msingi mkuu wa utoaji huduma za Kijamii ni kuwasogezea walengwa huduma kwa kadri inavyowezekana,Uamuzi huu ni sawa na kusema wagonjwa wote wa Dar LAZIMA watibiwe Muhimbili au wanunue mahitaji yao...
  11. L

    Baada ya hisia kuwa kali juu yake nimeamua kumrudia

    Bado hujajifunza,funzo utalipata muda si mrefu
  12. L

    Anayejua jina la huu wimbo anijuze

    Jina la wimbo ni KOLZA BABA, Muimbaji ni General Defao akimshirikisha Suke Chile Joel Chezntemba
  13. L

    Shinikizo la juu la damu (High blood Pressure) Fahamu chanzo, kinga na tiba ya tatizo hili

    pole kwa tatizo linalokusumbua, kwa maelezo uliyotoa naomba nikushauri kama ifuatavyo: 1. Tatizo la High blood Pressure halitibiki ,kinachofanyika ni kutumia dawa ili kuzuia uharibifu wa viungo vingine kama figo,moyo,macho na ubongo ( Stroke), 2.NI VIZURI UKIFAHAMU KUWA UNAWEZA KUTUMIA DAWA...
  14. L

    Sijawahi kuumia kama nilivyoumia hivi sasa nisaidieni

    Pole sana kwa yaliyotokea, Ushauri wangu kwako : 1. Kubaliana na kilichotokea, amekuwa muungwana kukueleza ukweli ili ufanye maamuzi, ukitulia mtafute uongee nae kwa ajili ya closure, inawezekana na ni vizuri kuachana kistaarabu 2. Tafuta kitu cha kukushughulisha, kama huna kazi unaweza hata...
  15. L

    Maisha yamenishinda, vita imenishinda

    Changamoto ni sehemu ya maisha, tatizo ni nini? Nipo tayari kukusaidia Sent using Jamii Forums mobile app
  16. L

    Nina tatizo la kutapika nyongo mara kwa mara

    Kwa sababu sijui dawa aliyokupa daktari, nakushauri uendelee kuzitumia ulizopewa kwa kama ulivyo elekezwa na ufuate masharti na kuzingatia kurudi tena kumuona daktari wako kwa ajili ya follow up Sent using Jamii Forums mobile app
  17. L

    Nina tatizo la kutapika nyongo mara kwa mara

    Ni jambo jema kuwa hatimae umegundua tatizo linalokusumbua, umefanya vizuri kuleta mrejesho, naimani daktari amekueleza matibabu ya tatizo lako Sent using Jamii Forums mobile app
  18. L

    Nashindwa nifanye nini juu ya huyu mpenzi wangu?

    Zingatia huu ushauri, Umri wako bado mdogo sana,tafuta hela kwanza wanawake wapo wengi mno,don't be broke and heart broken, hutaweza kustahimili. Sent using Jamii Forums mobile app
  19. L

    Nina tatizo la kutapika nyongo mara kwa mara

    Inawezekana una tatizo la GERD ( Gastro Esophageal Reflux Disease) hili linafanana sana na vidonda vya tumbo japo matibabu yake ni tofauti kidogo, bado nashauri upate muda wa kumuona daktari bingwa Sent using Jamii Forums mobile app
  20. L

    Nina tatizo la kutapika nyongo mara kwa mara

    Pole sana, kiuhalisia ni vigumu sana kutapika nyongo, kimaumbile nyongo (bile) inaingia kwenye mfumo wa mmeng'enyo wa chakula kwenye utumbo mwembamba hivyo sio rahisi kutapika nyongo labda kama una tatizo la utumbo kuziba, nakushauri umuone daktari bingwa wa magonjwa ya ndani (Physician) nina...
Back
Top Bottom