ok hiyo sawa unaweza hack lakini sasa weweeeeeeee??iyo hack ni ya Zamani braza mbona mnashindwa kuelewa?AHHHH Wallahy wale watu wanaojua kweli ps3 hacking waambieni hawa hawaelewi kwamba ile software method haifanyi tena kazi kama umeupgrade zaidi ya 3.56 lakini bado inapost mi method yao tu...
Hauwezi Downgrade ps3 firmware version 4.00 mpaka uwe na hardware flasher kama teensy++ ambayo mimi ninatumia kuflash ps3 motherboard then ili iweze cheza Game backups kama unadownload from internet bure halafu unacheza tu. ila ninaprice ninatoza sio bure manake hii jailbreak sio ya...
PS3 ata siku moja haina 4gb of ram halafu hakuna mtu anakujibu all this time......ahhh disgrace!
Anyways PS3 humuuzii mtu apa kwa laki 8 soo sorry bro rabda laki 6 na bado wateja haupati apa jamii forums no ones interested in buying.....
kama ps3 yako umezidi firmware version 3.55 basi kuwezi kuJailbreak yaani kuihack hadi ui Flash ps3! mimi ninaweza iyo PM for that. you can download games off the internet and play for free
1.samahani sana mimi sijamtukana mtu apa unanita mimi nyani??
2.Kama ps3 taka wewe unafanya nini kwenye thread hii??usingekuja kabisa!! maanayake hayakuhusu na hujui yanayo ongelewa!
3.Mimi nimesema na ninasema tena ninatumia njia ya hardware ya kudowngrade ps3 sasa nimeamua kuwaonesha watu...
mimi sifanyi hacking iyo njia ulioionesha hapo! iyo ni njia ya zamani na haifanyi tena kazi kwa firmware mpya ambayo zaidi ya 3.56 !!! jamani kama kuna mtu yoyote mwenye kujua kuhusu ps3 hacking awaambie hawa wananchi ambao hawaelewi wanachoongea!! PS3 firmware starting 3.56 to 4.11 is not...
mimi nimeona comment zenu zote ni WRONG! yani hakuna ata mmoja anaejua the real ps3 hacking scene tafadhalini emu fanyeni Google search kwanza kabla ya kupingana na mtu kama hujua anachoongelea!!!
Kama kuna mtu yoyote anataka kudowngrade and kuwezesha ps3 yake iweze kucheza games za kudownload
Wasiliana na mimi..
Ps3 yako haijalishi iko firmware gani mimi ninahack ps3 aina zote!! let me know through PM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.