Mwalimu wa secondary kama upo interested na Kibiti, Pwani pana umeme, maji na karibu sana na Dar...
Nahitaji kubadilishana na mtu kutoka sehemu zifuatazo:-
TANGA mjini
MUHEZA mjini
KOROGWE mjini
PANGANI mjini
DODOMA mjini
MOROGORO mjini
MWANZA mjini
Nishachemka na kukata tamaa na hii mambo ya kubadilishana maana cpati mtu. Walimu wa SEKONDARI walopangwa Tanga hawataki kuja KIBITI-RUFIJI, haya kaeni nyie mfaidi lakini huko ni kwetu sie....
njooni Pwani huku Kibiti mie nirudi zangu Tanga jamani!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! kuna umeme huku, maji, matunda, karibu na Dar, nauli kuja Dar ni 3500 tu na usafiri hadi saa 2 usiku........................mie nirudi zangu Tanga mjini jamani nimepamic hom ila ni kwa wale wa idara ya...
mimi nipo Kibiti pana maji, umeme na karibu na dar usafiri kuja Dar ni lisaa limoja na nusu na unapatikana hadi saa 2 usiku kila siku. kwaiyo kwa wale ambao wangependa kuwa karibu na DAR au kuishi maeneo haya tubadilishane....mimi nipo idara ya sekondari na nina TSD namba, barua ya kuthibitishwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.