Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) mnapaswa kuionea huruma Lipuli Fc, timu hii inashiriki mashindano mawili yaani Ligi kuu na shirikisho lakini mara nyingi ratiba inazokutana nazo ni kama vile haya mashindano yanasimamiwa na vitu viwili tofauti na si TFF.
Mara ya kwanza makosa haya...
Leo nimebahatika kusikiliza kipindi cha AZAM cha viwanjani, katika siliza yangu nimegundua walichokuwa wakikiongelea ni zaidi ya michezo, lakini wametumia michezo kufikisha ujumbe.
Walipokuwa wanaongelea juu ya mchezo wa simba na ile timu ya misri wamesema kuwa watanzania hatujui kudai haki...
Habari wadau,
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia namna ajira hizi za IT na computer science, katika kufuatilia kwangu nimegundua waajiri wengi ama wanakosa MTU mwenye sifa stahili kwa kazi yao au mtu ana sifa kwa vigezi vyao ila hana uwezo..
Kwanini nasema hivi...technolojia ya komputer ni...
jana tarehe 7/8/2017 kwenye kipindi cha michezo habari cha sports extra cha clods fm habari iliyotawala ilikuwa ni ya mashabiki wa iringa kuwapiga wachezaji wa mshikamano.
zogo lilianza baada ya ripota wa mchezo kuripoti, alipomaliza shafii dauda na wenzake(namtaja shafii dauda kwasababu ndo...
habari wadau!
hakuna mwaka ambao unaongoza kwa uzushi kwenye mitandao na vyombo vya habari kama huu mwaka wa 2016, baada ya dangote na Raisi Magufuli kukutana, Dangote alisema anampango wa kuleta magari 600 na mengine baadhi ya hayo yameshafika,aliongea kwa uwazi kabisa lakini ghafla kwenye...
Habari wadau!
Nikiwa ofisini kwangu amekuja mteja lakini alikuwa anamajonzi sana, ikabidi nimuulize kulikoni?
Akasema mnamo siku ya ijumaa alikuwa na milioni moja na laki tatu kwenye simu majira ya asubuhi, hakumpa mtu yoyote simu, ilipofika jioni wakati ananunua salio ndipo akagundua hamna...
To raise new questions, new possibilities, to regard old problems from a new angle, requires creative imagination and marks real advance in science." ~ Albert Einstein The daughter of an American father and a Kenyan-born mother, Mwende Window Snyder has worked at some of the largest...
anasema utegemezi wa kiuchumi ni hatari kwa russia
anasema lazima russia wawe huru vinginevyo watapotea duniani
anaendelea kusema kama siyo mgogoro wa ukraine nchi za magharibi wangetumia kitu kingine kuizoofisha russia
anazidi kusema kuwa watu wamejaribu kuiangusha russia toka zamani lakini...
wakuu habari,
nina wazo moja tu siku ya leo... najua wengi wanaaccount zaidi ya social media moja... sasa katika kila account kila mtu aandike "RUDISHENI PESA ZA ESCROW ILI TUNUNUE MADAWA" au ujumbe wowote ambao tunaweza kuupata na kuupendekeza kwa pamoja... tuwashawishi marafiki na majirani...
Hii silaha mpya inayoitwa vikwazo ambayo Marekani na washirika wake wamekuwa wakiitumia kwa muda mrefu dhidi ya wale wanaopingana na maslahi yao sasa ni dhahiri kuwa safari hii na wao inawaumiza.
Ni zaidi ya miezi kadhaa sasa toka Marekani na washirika wake waiwekee vikwazo Urusi.
Urusi mara...
Habari wakuu...
kama kuna mtu ana tatizo la laptop yake kutokutoa sauti mpaka aweke external speaker...basi ufunguzi wa tatizo lako ni huu....tatizo la hiyo kitu inakuwa zile audio port yaani yale matundu lock za ndani zimelegea....hivyo hazina uwezo wa kuumana tena pale pini itapokuwa...
habari zenu wana MMU
Kwa miaka mingi nilikuwa nikisikia story juu ya wanawake ambao hawajakeketwa,kiukweli nilikuwa najisikia uchungu mpaka ikafikia kipindi nikaanza kusoma na kujua sababu za wao kutokufurahia mapenzi na kujua kwa nini walikuwa wanakeketwa
Kukeketwa ni mila siyo ya kiafrika tu...
wakuu nimepata iphone4 second hand sasa kuactivate inataka niwe na email na password za mmiliki wa mwanzo sababu alijiunga icloud na ile security system yao, mi mmiliki simjui wala sijawahi kumsikia...mwenye maujanja kama naweza bypass hiyo process wakuu
habari zenu wana MMU,
katika dunia hii kuna mambo mengi sana, katika mambo hayo moja linaweza kukufurahisha wewe na likamkera mwingine, we kwako baya kwa mwingine huwa zuri na kinyume chake.
sasa katika utofauti huo ndipo nilipouona na kuushudia kwa mama mmoja ambaye ni mtu wangu wa karibu...
HATA SIKULAZIMISHI USOME, IKIBIDI HATA USISOME BE.....
eti mmeachana unalalamika ohoo kanipotezea muda wangu, kupotezewa muda unalalamika? -------- kweli wewe, kuna watu wamepotezewa mpaka roho zao wako makaburini kimyaaa hawalalamiki, kwanza kwani huo muda aliUtumia peke yake? si mlikuwa...
uajua hili jukwaa zamani pale zamani lilikuwa la kuelimishana kuhusu mambo yetu yaleeee, wanawake ndo mliligeuza hili jukwaa na kuanza kuwaponda wanaume. kwa muda mrefu mmetuponda sana sisi tukawa kimya au tunajibu kidogo na saa nyingine tunashabikia kupondwa kwetu..... kuna kinadada humu ni...
kila binadamu ana malengo yake katika maisha, tumetofautiana sana katika malengo yetu, kuna wengine wanapendaga malengo ya muda mfupi mda mrefu hawataki, wengine wanapenda ya mda mfupi wanachanganya na ya mda mrefu, lakini lengo ili litimie mtu anahitaji kuwa na mbinu na mikakati...
sasa basi...
Wana MMU jana nilikuwa kwenye harusi ya ndugu yangu, kwa kweli kuna jambo lilitokea sasa nikiwa kama mtu mwenye akili timamu nimejiuliza maswali mengi sana.
Kuna mshiriki mmoja wa hii harusi alikuwa wakike, huyu dada wakati wa kwenda kutoa zawadi alipomfikia bwana harusi alipompa tu mkono...
raha ya binadamu ni moja tu, huwa tunajifunza kutokana na makosa, yawe yako mwenyewe au ya wenzako. sasa kwa muda mrefu nimegundua asilimia kubwa wanawake wanakadalili kautapeli flani hivi, wakiwa na shida hujifanya wanakupenda sanaaaa, watakupakulia mpaka vya wageni, unyenyekevu juu, wakipata...
Wadau mimi nafanya kazi kwa shirika moja la microfinance, shirika hili sever zake ziko uholanzi, kutokana na sababu hiyo tunahitaji internet ya kasi zaidi itayowezesha zoezi la uingizaji data liwe la haraka zaidi, kwa sasa tunatumia TTCL, kwa kweli tumekuwa tukikwama sana na huyu ISP, naombeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.