Search results

  1. mnyikungu

    Ushauri: Pesa ya Tanzania isiwekwe wanyama

    Si kila neno unaloliona sehemu basi linamaanisha hivyo unavyoliona na kulijua, lile neno unaloliona kwenye dora yaani "in GOD we Trust" hiyo GOD ni Gold Oil and Diamond.
  2. mnyikungu

    Viongozi wa Nchi za G20 waridhia Umoja wa Afrika kuwa Mjumbe wa Kudumu wa Jukwaa hilo

    Sera na Mipango ya BRICS haifanani na G20 kwahiyo sidhani kama wao wataliangalia hili kwa kununa kama unavyosema, na BRICS kwangu naona inaichachafya zaidi EU na G7 kuliko G20.
  3. mnyikungu

    Misri: Rais Al-Sisi awataka wananchi kupunguza kuzaa kuepuka janga la kibinadamu

    kuzaa au kutokuzaa nadhani ni kuacha tu asili ichukue nafasi yake, ukiangalia sasa hivi ulaya wanawabembeleza watu kuzaa na hawaraki kwasababu ya hizi sera ambazo walizipandikiza kwenye vichwa vyao muda mrefu. Watu wazaane tu, kwamba watahudumiwaje mazingira yatatuwezesha na tutapata maalifa ya...
  4. mnyikungu

    Best top 5 female rappers of all time

    Kuna kina queen pen,Da brat...
  5. mnyikungu

    Inakuwaje kwa wasanii,wafanyabiashara na wanamichezo wa USA inafikia kuadabishwa kwa njia yoyote.

    Dunia hii kuna watu unavyowaona siyo kama walivyo...umaarufu wao nyuma ya pazia kuna kitu au watu wanaratibu sasa wakati mwingine hawa watu maarufu hukiuka makubaliano ya hivyo vitu au watu walio nyuma ya pazia ndo shida huanza kuwapata, inasemekana Michael Jackson yeye alichoka kuwa chini ya...
  6. mnyikungu

    Simba tumepoteana kuanzia kwa MO mpaka Mashabiki

    madharacya kurudisha gari kinyumenyume ndo haya
  7. mnyikungu

    Yafichuka mazito: Diamond Platnumz na Majizo bifu zao hazina mashiko

    Hizi mambo silikuwa zinamfaq sana marehemu Warumi
  8. mnyikungu

    Mfalme Zumaridi aachiliwa huru, amwaga uno mbele ya waumini

    Kwani dini gani una uhakika kabisa ni ya Mungu.
  9. mnyikungu

    Tofauti ya Sunni na Sh’ia ni ipi hasa?

    Pia nimepata kusikia mashia wanaakili na uchumi mzuri na wanasaidiana sana kuliko Suni ni kweli.
  10. mnyikungu

    Usioe familia ya mwanamke maskini, yamenikuta

    Wakaanza kuambukizana ufukara
  11. mnyikungu

    Muonekano wa nchi ya New Zeland kutokea ISS

    Nenda kafuatilie kazi ya Soyuz kwenye hicho Kituo, ndio kifaa Pekee ambacho hutumika kusafirisha wanaanga kwenda na kurudi, pia kwenye hicho Kituo kuna Soyuz nyingine ambayo ipo standby kama likitokea Lolote basi Kiweze Kuwatoa wanaanga kwa dharura
  12. mnyikungu

    Muonekano wa nchi ya New Zeland kutokea ISS

    Wewe Ndo unabisha ujinga, muwe mnafutilia mambo Siyo unazubaa Zumba’s tu wakati hujui
  13. mnyikungu

    Muonekano wa nchi ya New Zeland kutokea ISS

    Futatilia sana Utajua ni Nani katumika sana kufanya safari za Huko, vyombo vya mrusi ndio vimetumika zaidi kuliko vya mmarekani....Hawa zaidi zaidi watapeleka mizigo tu ambapo napo ni kwa Nadra sana....
  14. mnyikungu

    Muonekano wa nchi ya New Zeland kutokea ISS

    Baba hapa umetudanganya kabisa....kandarasi ya kupeleka watu kwenye hicho Kitiona na kuwarudisha inafanywa na Mrusi tu
  15. mnyikungu

    Ifahamu Nanga ya Meli (Ship Anchor)

    Baba hiyo ni physics ya form two.....
  16. mnyikungu

    Vitabu 14 viliondolewa kwenye biblia, Vatican imeficha nini, ilikusudia Dunia isijie nini?

    Unajua vitu vingine bwana vinachekesha sana.....kabla ya kuwalaumu Vatcan kwa kupunguza kwanza wapongeze kwa kukuletea biblia. Biblia ipi unayoijua wewe iliyokuwa na vitabu vyote hivyo mpaka useme walipunguza?
  17. mnyikungu

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Kwa mujibu wa taarifa toka Ukraine wanasema kuwa Urusi inarefusha maksudi vita ili vifike majira ya baridi muda ambao wanaamini kuwa mataifa ya ulaya yatake yasitake yatalazimika kuzungumza na Urusi tu.
  18. mnyikungu

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Hiyokabla ya vita kuu vya pili vya dunia ilikuwa sehemu ya Ujeruman baada ya vita kuisha akaichukua,zamani wakati muungano wa Soviet upo manaake ilikuwa inafikika vizuri baada ya muungano kuvunjika manaake nchi za katikati zikajipatia uhuru na kufanya eneo hilo kuwa mbali na Urusi, mwanzo...
Back
Top Bottom