Kuna kundi la wajanja kutoka CCM Birmingham likiongozwa na kapten wao Moses Katega na Nshomire wenzake/Wahaya wamefanya mchongo mzima, Viongozi wenzake Maina Owino,Alan Kalinga na Susan Mzee waambulia patupu,Wamepigwa changa la machoQUOTE=ccmuk;2131882]Inaashiria mambo kadhaa kama vile-Uongozi...
Nilibonyeza na kujiunga kwenye hiyo Link, mbona sijasikia hayo mazungumzo? Sidhani kama Maina Owino ana jipya lolote, sana sana ni kutoa Mijisifa na Kijinadi ili apate kusikika, atambue pia kuna athari zake. It is good to take a Risk IF You Do a Good Risk Assessments and Know the Outcomes of It...
Je kuna mazuri yoyote aliyofanya/afanyayo huyu Maina Owino? ni vizuri pia kuangalia upande huo. Tutambue ya kwamba sote(Binadamu) si Wakamilifu, tuna Mapungufu yetu. I hope CCM wanamlipa Maina Owino kifutia machozi, maana hapa jamvini amenyambuliwa sana, hii ni Kafara ama ameyataka Mwenyewe...
swali lako ni la msingi na ni zuri sana, jaribu pia kumuuliza mama yako/shangazi yako/dada yako/bibi yako/nyanya wako/mke wako na ndugu zako wanawake watakujibu kwa ufanisi na kiundani zaidi. Kila la kheri
Kuna tetesi zinasema kwamba huyu "MAINA OWINO" ni MKENYA na amekulia na kusoma TANZANIA, na anajishughulisha na SIASA za USISIEMU na alishawahi kugombea huko RORYA na kutupwa chini na SARUNGI, Wakuu mnaomjua hii imekaaje?
TEMBELEA HAPA Chama Cha Mapinduzi - Tawi la London - Uingereza , VILAZA WENGI TU, KATI YAO NDIO ALIYEANDIKA HIYO TEXT MESSAGE YA HUYO DADA SUSAN MZEE YA KUMKASHFU, WAMESHATINGA CHAMWINO KUENDELEZA MAJUNGU :pound: :pound: :pound:
NA AKIPATA NAFASI BAADA YA KUTOKA READING ATAHUDHURIA KIKAO CHA CCM HUKO BIRMINGHAM :dance::dance:, SIJUI WATAMKABIDHI VILE VIDUBWASHA VYA KUFUNGULI CHUPA ZA POMBE NA VINYWAJI BARIDI VINAVYOTOA NA MUZIKI WA CCM .....
We "Mmakonde, kwani kuwa na nafasi ya Uwenyekiti wa TA - UK/CCM - UK ni lazima uwe na PhD? hii inaonyesha ufinyu wa fikra zako/fikra potovu, kama majibu unayo/umeyapata kutoka kwa wanaomfahamu Dr. John Lusingu si uyaseme ama umayapata kwa huyo mchungaji wako IRUNGU" pia umesema ulishawahi...
"Kuna wengine wanazo za Oxford ??? n.k na wengine wanazo za kununua so called themselves elites??!!!! na ni mabogus wa kutupwa" na bado wanamwaga matapishi yao hapa tuwaweke kwenye kundi gani? mhhh!! "mediocre"
Kama una muda wa kwenda shopping, kanisani, msikitini, ama kwenda pub/bar na sehemu zingine za starehe wakati unakazi au unasoma utaweza pia kupata muda wa kuhudhuria vikao ama shughuli za ccm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.