Habari za kazi wana bodi,
Napenda kuwapa habari njema kwa wale wote ambao hawapendi ama hawawezi kutumia sukari
Kuwa asali mbichi na original kutoka Tabora, inapatakina katika kiwango cha hali ya juu.
Ukiagiza asali kutoka kwangu unaletewa hadi mlangoni kwako kwa wale walio maeneo ya mjini Dar...
"Blogs has the ability to loan peoples time and attention by putting readers at the heart of the solution".
kuna blog za aina tofauti kulingana na budget yako
Kuna self hosted na zile ambazo ni free hosted mfano
free hosted ni zile zinazoishia na .blogspot.com
na self hosted ni zile za...
'selfies' zimekua dili.
Watu kibao wamekua wakijipiga picha wao wenyewe almaarufu kama "selfie" ili tu kujifurahisha na kujiburudisha huku wengine wakijipatia pesa kupitia picha zao.
"Nili apload picha zangu chache nikiwa nimevaa miwani nambili zilinunuliwa", hayo ni maneno ya Cynthia...
Life is what happens to you while you're busy making other plans. John Lennon
Planning for the future:
When most people are young adults, they put a lot of their effort into preparing for their future. The problem is, the future never really comes. After middle age, they may or may not have...
Habari Wadau,
Natafuta Printer yenye sifa zifuatazo.
* Yenye uwezo wa ku-print paper sticker
*Rahisi katika kujaza wino au wino wake unaopatikana kwa bei rahisi
*Heavy Duty
*Bei Poa
SMS only. +255683953700
Habari wana JF, Hongereni wajasiamali/wakulima
Nisiwachoshe jamani, mimi nilitaka kujua au kupata taarifa juu ya kilimo cha cocoa..
Wapi nchini kwetu kinaweza kulimwa pamoja na tarifa zingine.
Habari wana JF, Poleni macelebrity!
Dhumuni la uzi huu leo nataka tuzungumzie muziki wa kinaigeria kama mziki ambao ni moja
ya muzik kwenye mafanikio makubwa barani Afrika na Duniani kiujumla.
Je wenzetu ni nini amabao wao wanakifanya sisi hatukioni?.
Je unakubali kazi zao? Maana mimi...
Habari wana JF, Poleni wasaka Job
1. Hakikisha unachakachua kidogo jina lako lifanane na kiongozi flani serikalini eg: Lughembe = Maghembe
2.Hakikisha unajifanya mgeni hapa Tz, na unatokea ether South Africa, Nigeria au Kenya
3. Kama wewe ni mweupe kiasi vaa wigi then jifanye ni blak indian...
Habari wana JF, Shikamoni wana MMU (maana mna makubwa)..
Jamani kuna haka ka usemi hapo juu naona kadri ulimwenu unavyobadilika haka
ka usemi kana ukweli.
!!Women demand a lot o things from one man while Men demand only one thing from a lot of Women.
Walume what do you need from girls...
You know how they say theyre more women than men in the world Some people have used this statistical imbalance as a valid justification for polygamy and keeping your options open. Whether this is right or wrong is open to a whole lot of discussion and analysis. The dynamics of how these...
Habari wana JF, Poleni Watafuta kazi wenzangu.
Baada ya poyoyo mbili tatu nazizipiga humu mtandaoni pamoja na kitaa lakini maisha
yanazidi kukaba wakuu,Ukweli unabidi usemwe ila hiyo sio case.
Husieni na kichwa habari hapo juu elimu ya kuombea maji ninayo, Passport ninayo
na nauli pia ninayo...
LMAO - Laughing My As* Off
LOL - Laughing Out Loud
Also:
AFAIK =» As Far As I Know
AFK =» Away From Keyboard
ASAP =» As Soon As Possible
BAS =» Big A$$ Smile
BBL =» Be Back Later
BBN =» Bye Bye Now
BBS =» Be Back Soon
BEG =» Big Evil Grin
BF =» Boyfriend
BIBO =» Beer In...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.