Ujenzi wa reli mpya ulikua ni mpango wa maendeleo wa muda mrefu.
Naamini tungejenga reli ya kisasa zaidi yenye kukidhi mabadiliko ya technologia na ongezeko la watu.
Kuwa na reli ya umeme sio kigezo reli kuwa ya kisasa .
Naamini reli hii ingeanza Port kama kituo muhimu na wasafiri wange pata...
Hata SGR tumepigwa
Main Station kama soko la machinga ilala
Sub station kama police posts
Watu wamechelewesha mradi ili wapige riba ..
CAG anasema tumepigwa 35 billion kwa ucheleweshaji mradi kipande cha Dar-Moro peke yake.
Haya Mataga pigeni makofi kidogo.....
Msumbiji ishauriwe iongee na Wananchi wake wanayo madai halali.
Nguvu haitowasaidia unapopgana na Kundi ambalo halina cha kupoteza.
Wananchi wa Kaskazini ya Msumbiji wame baguliwa sana na Frelimo. Maeneo haya hakuna maendeleo yoyote yalio wekezwa.
Sasa kuna Gas kwa wingi nayo hawatafaidi na...
Wana Mataga hamjambo ?
Naona SGR Daraja la Nkurumah limekongongorewa kwa mara ya Tatu.
Naona Jini la pale sio la Nchi hii.
Itabidi Mataga muongee na Jamaa mlie mvunjia Petrol station yake bila ya fidia yoyote.
Petrol station ile ilikua na hati miliki ya mwaka 1966 .
Magu akaivunja kibabe ...
Bahati nzuri mafisadi wote wamo ndani ya ccm. Ndio mawaziri , manaibu, wakurugenzi, ma DC , RC nk
Ripoti ya GAG imeonesha kuna ufisadi na wizi .
Hivo akapambane na majizi ndani ya serikali ambayo ni maccm.
Asifanye kama Magufuli kuonea Wapinzani badala kupambana majizi TPA na kwengine
Inatakiwa kuwekeza zaidi kwenye Hihital security bandarini.
Kunawekwa electromic gates za kutolea mziho.
Gate linafunguka kwa bar code ya risiti only.
Tena kwa kutumia container number.
Hujalipa kodi gate halifunhuki katu.
Majeshi sio kazi yao waache hakuna serikali ya kijeshi
Mataga hamjambo ? Tupoe na msiba.
Sasa lini tunafika Moro na kuanza kazi ?
Hivi Bandarini mtapitia njia gani ?
Sasa SGR chini ya Mama Samia itajengwa kwa kuwashirikisha Watanzania kama wa miliki kwa kuwauzia shares.
Mambo ya kujenga SGR kwa faini za magari hatufiki na kila jengo linapunguzwa ku...
Kwani zamani watoto walilipa kiasi gani?
Unajua cost ya hii propaganda ya magufuli kuhusu elimu?
Dar peke yake watoto zaidi ya laki 5 wanakosa nafasi za kusoma kwa sababu hakuna shule mpya alozojenga na watoto wanaongezeka.
Ni kiini macho tu hamna kitu
Anyamaze huyu Ndugai asianze kumuingilia mama Samia
Anajipendekeza wakati yeye ni mmoja aliyeshiriki kulifanya bunge kuwa rupper stamp.
Kwanza Ndugai ana kesi ya kuvunja katiba kwa kuruhusu wabunge feki.
Miradi iliopo inategemea priorities za serikali na mwelekeo wa Samia President wa Tanzania...
Jana imeangalia hii movie na hamkuwemo wimbo wowote wa Diamond.
Wimbo ulio kuwemo ni wa Davido. Na nikaangalia list ya nyimbo mwishoni mwa movies hakuna mahali Diamond ametajwa.
Msidanganye haukuwemo
Niseme tu hio projected size na growth sio sawa. Data hazipo sawa.
Kwanza Three Major Religion ni
Christians 1.5 billion
Islam 1.2 billion
Hindus 1.1 billion
Figure zako hazipo sawa kabisa fanya research
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.