Nlimaliza udom thoz yearz, nimemaliza program ingine open universty recently, mziki wa open usipime, Nlidhan open ni lelemamaa hakika sio, nlichokisomea hakijadharaulika na kimeniinua kiasi, mentality ya kudharau OUT ipo cha muhim ni kutambua malengo yako na kuyasimamia.
Asante kwa post yenye akili. Ukiwa mgeni unaweza kudhani wana Jf wote mambo safi kila mmoja anajirate so highly. Ujumbe murua kwa wana drama wote popote walipo.
Hahaaaaa, walim wako walipata tabu sana, sasa huelewi nini? Wewe unajua kwamba 2010-2015 Hai dc ilikuwa inaongozwa na chadema au unahisi? Au unahemuka? By da way nani amekwambia chadema kuna malaika? Mpaka leo hata ofisi hatuna hilo hushangai? Wabunge wote chadema ni effective? Tumia reasoning...
Sure, katika hawa watumishi hakuna hata mkuu wa idara, iweje hivi vidagaa vitolewe kafara wakubwa waachwe? Bado kuna majipu katika hizi halmshauri zetu kote nchini
Maafisa utumishi waliokula pesa za watumishi ni Faraja Ndatu na Bayege. Hawa walishasimamishwa kazi pamoja na mhasibu walichukua mkopo CRBD kwa majina ya watumishi hewa na pia walikula pesa zote zilizotengwa kwa ajili ya watumishi wa afya hospitali ya machame, wameongeza upekuzi wamebaini...
Mbwambo mwenyekiti wa chadema kata ya usa river alikuwa threat kwa nani hadi kuchinjwa kama ng'ombe uchaguzi mdogo uliomleta Nassary bungeni? Kama Alphonce alikuwa mgomvi alistahili kuuawa? Ua so stupid!
Angalau serikali inawajibika, maafisa utumishi wa h/m ya HAI ndugu BAYEGE na NDATU kwa kushirikiana na idara ya fedha wameumiza sana watumishi wa afya, elimu na idara zingine. Nadhani kuwasimamisha kazi tuu haitoshi, waondolewe na wafikishwe mahakamani, ninaweza kusaidia TAKUKURU juu ya kesi za...
Ua a genious brother, great analysis, Tanzania ina watu wanaoweza ku read btn the lines, siku nyingine usiumbue wanafeki kiasi hiki, MSAFARA WA MAMBA...!
Watu wenye ufahamu ndio wapotoshaji wakubwa, mmekosa uzalendo badala yake mmetanguliza ubinafsi mbele, ulichokisimamia jana leo hukitaki, unachokisema leo baadae unakikana alimradi maslahi yenu yafanikiwe, aibu sanaaa!
Too general, too vague, onyeshen msimamo kma kina mzee moyo, tatizo mna viongozi wengi wanafeki kama huku bara, Mimi niko bara sio muislam na ninawaunga mkono, ziko familia chache tu zinaongoza tz bara na zingine chache visiwani, utawala huu hauturidhishi bara wala visiwani, so kuunganisha...
Muache udini, haki ni kuwa nchi unaweza kushirikiana na nchi nyingine sembuse Zanzibar yenye historia kongwe na wa Oman ambao wengine ni ndugu zao wa damu, Hongeren Wazanzibari kwa kuamua kwa amani kupitia sanduku la kura, ni muda tu unasubiriwa Rais aliyechaguliwa aweze kutangazwa na kuapishwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.