nayasema haya kwa kuwa najua ninachokisema. kama uko vizuri kwenye kazi unayoomba unapata bila kumjua mtu. wapo watu wamepata tra na tanesco bila kumjua mtu.
Huyu ana reseat mtihani wa form four. Hiyo hela anayosema ndiyo ada ya kurudia mtihani wa form four. Sema inaonekana kijana mwenyewe ni bishoo ndo maana hataki kusema openly
Tembelea mamlaka ya mawasiliano - TCRA. utapata ufafanuzi wa issue zote zinazohusiana na FM radios. Kama upo mikoani tafuta ofisi zao za kanda watakusaidia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.