Jana nilikuwa naangalia matukio katika kijiji cha Mama Shujaa wa Chakula pale Maisha Plus, kwa maana ya matukio yaliyojiri siku ya J'2. Nikaona ya kwamba ilikuwa ni siku ya Ibada kwa Wakristo na nikaona kuna Misa kama Mbili (2) tofauti zilifanyika.
Nataka kujua SADAKA zao wale Wamama...
Labda kama sijui vizuri naomba leo Wana JF mnijuze vyema.
Utawasikia Njiani, Sokoni, Makazini oooh nalea mie au watoto wangu nimewalea vizuri kweli, wakati ukweli ni kwamba wao na Waume wanaondoka nyumbani saa 11 Alfajiri na kurudi saa 1 hadi 3 Usiku.
Sasa najiuliza kulea ni kulala na Mtoto...
Nataka kujua SIFA za watoto wote wa kiume na kike ambao mimba zao zinatungwa wakati wazazi wao wakiwa kwenye Fungate la NDOA yaani (HONEYMOON), nipo kwenye ka UTAFITI kidogo nadhani Machi 2012 nitaleta matokeo hapa bila kuchakachua kitu.
Nawasilisha.
Kwenye maisha lazima utahitaji kuvijua vitu fulani kwa undani (Udadisi) ili kupunguza mawazo juu ya hicho kitu na kukielewa vizuri,
Leo naomba kufahamu juu ya uvaaji wa pete mbili kwa akina mama (ya Uchumba na ya Ndoa).
Naona wote wanaanza kuvaa ya Ndoa halafu ya uchumba inafuatia, wakati...
Napenda kujua wadau hivi hizi nauli za hapa jijini ni nani hasa msimamizi,
Labda ndio wanasimamia barabara kuu tu siye wa pembezoni mmmhhh.
MFANO
Nauli za Banana kuelekea Mwanagati, Kibeberu, Kinyantira, Kivule nauli ni 400/= badala ya nauli halali ya SUMATRA ambayo ni 300, ukiwapigia simu...
Najiandaa kuoa, hivyo nikawajibika kutafuta mshenga,
Nikafanikiwa kumpata Mzee mmoja wa miaka 80 hivi lakini alifiwa na Mke miaka 16 nyuma.
nikiamini kwa umri wake na busara zake nikaona nimekula dume kumbe wapi,
UTATA UKAJA
Mara akaanza kujenga na mazoea na Mama Mkwe wangu (Mjane) kwa...
Baba yangu alifariki mwaka jana mwezi wa saba, katika harakati za kufuatilia mali zake tukakuta kumbe nyumba moja imeshauzwa kwa Mpangaji anaekaa humo ndani kitambo tu. baada ya kupekua nyaraka za marehemu hatukukuta hata chembe ya "document" kuonyesha kuwa imeuzwa, Lakini katika zile hati za...
Baba yangu alifariki mwaka jana mwezi wa saba, katika harakati za kufuatilia mali zake tukakuta kumbe nyumba moja imeshauzwa kwa Mpangaji anaekaa humo ndani kitambo tu. baada ya kupekua nyaraka za marehemu hatukukuta hata chembe ya "document" kuonyesha kuwa imeuzwa, Lakini katika zile hati za...
Una kidemu chako kitaa, ambacho umedumu nacho kwa miaka kama miwili hivi ghafla siku moja unakutana na Bro wake mara anakuambia kaka nashukuru kwa kuwa unammega Dadaangu, hongera kaka kwa hilo. Ila tu naomba umlinde, kama ni wewe utajisikiaje?
Hivi ingekuwaje? wanaJF kama kila tukiachana tunaenda Gazetini kuweka tangazo la rangi na ukurasa wa mbele kama hivi.
TANGAZO
Kuanzia leo tarehe.................., mimi ...................... natangazia umma rasmi ya kwamba uhusiano wangu na...
Ndugu WanaJF nina nipo kwenye uhusiano na Mpenzi wangu kwa muda wa miaka 2 sasa, nampenda naye ananipenda lakini kwenye mwezi wa nane (8) mwaka nikasex na mtu mwingine mara moja TU. kumbe katika kipindi chote hicho huyo mpenzi wangu alikuwa akichunguza mienendo na mawasiliano kati yangu na huyo...
Nashuka basi stend hapo Mlandizi, nakutana na jamaa yangu kachafuka ile mbaya.
namuuliza nini tatizo anasikitika tu huku akisema kwa huzuni "demu wangu katolewa bikira hapo zahanati muda si mrefu rafiki"
Akaanza kunipa mkasa vizuri. anadai alikutana na huyu demu akamwimbisha ikawa Ok, kisha...
Jamani wana JF naomba mnisaidie kwani mwaka wa 10 sasa sina hamu na watu wa jinsia nyingine (wanawake). Niliachana nao rasmi tangia muda huo kwani kila nikiwavutia room nakosa kabisa hata hamu ya kuwanyonya wala kutomasana.
Kwa ujumla nakosa ASHIKI kabisa.
Naleta mada hii kweni kwa kuwa...
Natoka kwa Job naelekea zangu home nafika nyumba moja kabla ya kufika kwangu (kwa jirani).
Nakuta Mke wa jirani anafua nguo za watoto wake watatu (3) wote wa kiume huku wakiwa wamemzunguka mmoja ana miaka kama 9, wa pili miaka kama 7, na wa mwisho ana miaka kama 4. katika hali ya kushangaza...
Wana JF
Hivi mwanamke kaumbwa kutokana na Udongo au Ubavu wa Mumewe?
kama ni Udongo mbona hawana utii kama ule waliopewa viumbe viumbavyo kwa udongo,
na kama ni Ubavu wa Mume mbona hawana subira wala utii kwa waume (mbavu) wao.
kwa bahati nzuri au mbaya nimefanikiwa kuyanasa mazungumzo fulani kati ya watu wawili wapendanao
GF: kwanini uniambie, kata kwanza simu kuna mtu ananipigia
BF: alikuwa ni bosi wangu anataka taarifa za ofisi
GF: kwani hamkuonana ofisini
BF: nilikuwa field mchana kutwa wakati narudi ofisini...
Kwanza kabisa sifa moja kuu ya msomaji habari ni pamoja kuwa na uwezo wa kuichambua na kuielewa habari husika
Basi ndugu zangu wa JF siku ya jana nilipata bahati ya kupitia habari moja kutoka gazeti moja la michezo la kiswahili litokalo mara mbili kwa juma yenye kichwa cha habari kisemacho...
Its 48 years of Independence.
Unfortunately most of youths are not free in their mind!
We nowdays thinkof harversting without raising crops "MAFISADI"
Let's unleash our thoughtsand make "UNLIMITED THINKING"
Dont think of good life....think of how to legally get it!.
Dont think of...
Mwaka ndio huo tena unaishia
JE? MAPENZI yamekufanyia nini?
1. Umehonga shilling ngapi?
2. Kiasi gani umelipa GESTI
3. Umetumia kiasi gani ukikodi au kumkodia mtu
TAXI kwa ajili ya MAPENZI
4. Umetumia kiasi gani kununua VOCHA umpigie na wakati mwingine kumtumia.
5. Kiasi gani umetumia kumtoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.