Search results

  1. E

    Mpango wa kilimo cha matikiti maji ekari 3 May-July 2017

    Nawaletea mpango mkakati huu ili tupambane na umasikini.
  2. E

    Yaliyotokea Korea, sipati picha ingekuwa Tanzania

    Nani kakwambia kuwa Kim ni Mkristo?
  3. E

    Mchoro wa kiwanda kidogo

    tangazo bingo nije nifanye kazi!
  4. E

    Soda za Cocacola zinawanyima usingizi wapinzani wake wa kibiashara

    kwa sie wataalamu wa "food science" hakuna chakula chochote cha kiwandani kilicho salama kabisa. kwa mfano soda zote zina SORBATES sumu ya pili kwa kuua duniani baada ya CYANIDE.
  5. E

    Mashine ya kilimo cha umwagiliaji

    tafuta honda 5.5HP, 3inch (HONDA W30XT)
  6. E

    Tanzania, Beware of MONSATO and foreign Agro business conglomerates!

    Acha UVIVU katika kufikiri, nchi hii HAKUNA SERA ya kilimo kwanza bali tuna kilimo kwanza INITIATIVES ambazo ziko chini ya BARAZA la biashara Tanzania. kwa hiyo wana uwezo wa kuomba fedha popote wanapoona panafaa kukamilisha andiko lao.
  7. E

    Kontena laanguka barabarani Taa za TAZARA

    Acha uongo bana, foleni kwa uzoefu wangu katika njia hii ni kitu ya kawaida kwa siku ya Jumamosi hususani kuanzia mida ya saa nne (4) asubuhi, hata hivyo lori lenyewe halikukaa zaidi ya saa moja. Magari yote yalikuwa yanapita vizuri tu kasoro yale yatokayo Gongolamboto kuelekea Buguruni. Trafiki...
  8. E

    Mwigulu Nchemba apata wakati mgumu mjini Kiomboi Iramba

    Last week nilikuwa Iramba hususan kata za Kiomboi, Ulemo, Kinampanda, Kyengege, Shelui na .........kote huko wanamsema vibaya hata wanachama wenzie
  9. E

    Kamanda John Mhozya tumaini jipya Kibaha

    unanikumbusha RUVU SEC SCHOOL 2000, Mkuu nami nakuja kwa UDIWANI kata ya RUVU STATION nakuahidi ushirikiano lkn tatizo la wazaramo kule ni njaa na fikra MGANDO. Mtafute na Mselewa kwa kata ya VISIGA.
  10. E

    Mitindo ya kulala huelezea kipimo cha mapenzi baina ya wanandoa

    nisaidie ndugu, sie wazazi watoto wetu kwa usalama wao huwalaza katikati ya kitanda. labda anajadili wagumba na wazazi waliokuza tayari.
  11. E

    SUMATRA mmelala?

    kaka PEPSI hata wewe mwanasheria unalalamika wapeleke tu Mahakamani, so far mimi huwa sishuki hata kama nimebaki alone abiria wa Mlandizi.
  12. E

    Dhana ya "kumbemenda mtoto"

    Njoo home kwangu weekend hii umuone
  13. E

    Daktari aliyesoma CBG

    walilikalilishwa tokea utotoni na babu PCB ndio Dokta. Ushangai kuhusu hadithi zote ni sungura na fisi akitajwa NYANI hiyo sio hadithi tena.
  14. E

    Sadaka maisha plus

    Jana nilikuwa naangalia matukio katika kijiji cha Mama Shujaa wa Chakula pale Maisha Plus, kwa maana ya matukio yaliyojiri siku ya J'2. Nikaona ya kwamba ilikuwa ni siku ya Ibada kwa Wakristo na nikaona kuna Misa kama Mbili (2) tofauti zilifanyika. Nataka kujua SADAKA zao wale Wamama...
  15. E

    Wanalea nini

    Labda kama sijui vizuri naomba leo Wana JF mnijuze vyema. Utawasikia Njiani, Sokoni, Makazini oooh nalea mie au watoto wangu nimewalea vizuri kweli, wakati ukweli ni kwamba wao na Waume wanaondoka nyumbani saa 11 Alfajiri na kurudi saa 1 hadi 3 Usiku. Sasa najiuliza kulea ni kulala na Mtoto...
  16. E

    Naomba kuelimisha: Je ATCL ni idaea/depart ya wizara au ni Limited company owned by government!!!

    Hapo kwenye BOLD naomba ingia tovuti hii www.mot.go.tz itakusaidia na uache uvivu wa kufikiri. Are you great thinker?.
  17. E

    Waziri Mkuu wa Uholanzi akiwasili ofisini kwa usafiri wa baiskeli. Je, viongozi wetu wanaweza kufanya hivi?

    Waziri Mkuu wa Uholanzi Mh. Mark Mutte akitoka Mzigoni kurejea Home kwa usafiri wa Baiskeli Je, kwetu Pinda anaiweza hii?.
  18. E

    Mbowe, Lissu na Mnyika ndani ya Mlandizi tarehe 10/06/2012

    Acha uongo Stand ya Mzenga hakuna uwanja labda kama watakaa kwenye Barabara na Chini ya Umeme Mkubwa wa Tanesco ambao wenye umeme wao wanakataza. Hata hivyo nawaomba watu wa Kikongo, Mwanabwito, Ngeta, Lupunga, Kidau, Disunyara, Ruvu Station, Kitomondo pamoja na Kwala wajitokeza kwa wingi.
  19. E

    Serekali ya kihuni: DAWASCO kutoza fees kwa watu waliochimba visima vya maji kwao

    Acheni UPUUZI wenu, Mnaelekea kwenye malipo ya TV zenu hamsemi, hili la maji mnapiga kelele: kumbuka kulipia maji ni lazima. Soma sheria ya matumizi ya maji ya Mwaaka 2002. Na sio hao hata wale wanaomwagia MCHICHA kule msimbazi nao wanatakiwa kulipa ila tu kwa sababu ya ubutu wa sheria zetu...
Back
Top Bottom