Habari wanajamii na Skukuu ya Eid njema.
Nimenunua Tv ya Samsung Smart tv used, nimeunganisha internet na simu yangu na imekubali vizuri tu na simu yangu ina Gb za kutosha za kuweza kuperuzi internet. Vilevile ninapojaribu kufungua internet kwenye web browser, mwanzo inafunguka vizuri na...
Habari za jumapili
Nikiwa kama shibiki wa mpira na hasa mipira ya ulaya. Natabiri wazi kua falinal ya uefa itakua ni kati ya liverpool na man city.
Tuanze na robo final.
Liverpool vs Porto. Hapa sote tunajua kua porto atatolewa nje kwa haya mashindano.
Barcelona vs Man united. Na hapa pia...
1) SHAHRUKH KHAN (UTAJIRI$600 Million)
Huyu ndie actor namba moja mwenye mkwanja mrefu kwa india, wenyewe wahindi wanamwita “THE KING OF BOLLYWOOD” . amezaliwa 2 November mwaka 1965 mjini New delhi, mkewe anaitwa Gauri Khan sliyemuoa mwaka 1991 na mpaka sasa ana watoto 3. Kama ni mtazamaji...
Jamaa mmoja kakodi tax akiwa anatembea katika jiji mara akapita gest moja akamuona mkewe akiingia ndani ya gesti, jamaa akamwambia dereva simama, jee? unataka laki tatu za chap chap? dereva akajibu ndio, jamaa akamwambia nenda mle gesti kamtoe mke wangu picha yake hii hapa, tena uwe unampiga...
Mwanaume mmoja aliwatongoza wanawake watatu tofauti na nia yake ni kufanya upembuzi yakinifu ili mmoja wao awe mkewe. Hivyo jamaa aliamua kuwapa jaribio kwa kuwapa Tsh. 500,000/= kila mmoja huku akitaka kujua ni namna gani watazitumia.
Mwanamke wa kwanza alitumia pesa yote kununua vipodozi...
BREAKING NEWS
FA imefuta matokeo ya mchezo kati ya Chelsea vs Liverpool. Mchezo haukua huru na wa haki, Klopp alijitangazia ushindi wa kishindo kabla muamuzi hajamaliza mpira.
Hivyo mwenyekiti wa FA amefuta matokeo ya leo na mechi itarudiwa baada ya msimu wa baridi kumalizika via...
habari za jioni wakuu, poleni na kazi, natumia samsung galaxy 5 (s5) tangu jana simu yangu imekumbwa na tatizo la kuwaka wi-fi automatic. naomba mnisaidie jinsi ya kuondoa hilo tatizo
Majadiliano kati ya Pinda na Wassira baada ya matokeo;
Pinda: Oya kaka vipi, mbona unasinzia tuuu, tayari huko
Wassira: •0ƒ7•0ƒ7•0ƒ7 Tayari?! Vipi, mzee kapita?
Pinda: Yaani wewe badala ujiulizie wewe unauliza watu wengne?!
Wassira: "9ü9"9ü9"9ü9 kwani mkuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.