Huyo dada atakuja kulia kilio cha mbwa mwitu naona hawajui wanaume vzur anawasikia tu, kwenye ndoa wanatugeuka itakuja kua kwenye mahusiano ya mapenz,? We dada laki 4 wazaz wako waliokusomesha umewah wapa hata laki mbili? Utakua na kamtindio sio bure
Unajua sina nilichowekeza? Yaan me yote ni watu wananiambia n wala hata hua simuulizi labda itokee sababu nijikute nimesema ila bunafsi nishakubalina na hali ya mwenzangu maana tabia ni kama ngoz haibadilik, as long as kwake starehe yake n wanawake aendelee nao kikubwa tuheshimiane tu tujenge...
Hahahhah yaan unatafuta sababu ya kucheat nishakuambia hyo huwez ipata kamwe we endelea ndio nishajua na sijatoka endelea kusubir ujue ili ndoa iwe basi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.