Kipande cha Barabara cha Town Clinic ni Kibovu tangu nahamia Tabora Mwaka 2019. Ni Kipande ambacho hata Mita 100 hakifikishi, ndicho kinachoingia Salmini, sehemu Muhimu kiuchumi, Diwani wa eneo hilo nae Hakuna anachofanya, Shida ni Nini?
Naona mnapambana kujenga Kingo za Barabara ya Cheyo KWA...
Simung'unyi maneno. Ni shirika ambalo limeshaisababishia nchi Hasara ya Kutosha. Ndege hizi zilisababisha watu wakaumizwa KWA kutoonekana Wazalendo. Shirika hili kufufuliwa iligharimu nchi KWA fedha nyingi sana.
Halafu kuna wapumbavu wachache wameamua kulihujumu na kuliua tena shirika hili bila...
Kwa Wataalamu wa ujenzi wa Barabara, ni sahihi kutumia zaidi ya 70 Bilioni kujenga 4.3 Km? Hata kama ni njia nne, nahisi kuna jambo halipo sawa.
Ile ya 2km kwa 700B tutakuja kuiongelea siku nyingine!
Ndiyo! Namaanisha mkoa mpya wa Butiama.
Hivi hakuna Wazalendo wa kuomba kuanzishwa huu mkoa kama kielelezo cha kumuenzi Baba wa Taifa hili?
Twajua hakuwa Mbinafsi, na hakutaka kujipendelea licha ya kuwa na uwezo huo! Leo tunaona uzalendo sehemu fulani kuwa mkoa kutokana na mihemko sijui ni ya...
Nikiwa mkazi wa mkoa wako, na manispaa ya Tabora, na nikiwa mmoja ya wanaokuheshimu kwa kazi kubwa na kujitolea kwako kwa mkoa uliopewa, niseme tu, changamoto ya eneo la Ipuli hususani Freemason au kwa Sonda sio hao wanaolima Majaruba ya Mpunga.
Tabora, kama ilivyo maeneo mengi ya nchi, kuna...
Kwako Kamanda Diwani Athuman, naamini ulisikiliza hotuba ya Mpendwa wetu Boss wako juzi Wakati alipowaalika Taifa Stars na Mwakinyo kula nae msosi. Katika mazungumzo Yake yote, lipo Moja lilinipa tahadhari na Kama hukulisikia, Basi jua alikupa maagizo ya kimyakimya! Tiketi za Ziada zilizouzwa...
Sijui Kama heading nimeiweka vizuri ila naamini mtanielewa tu.
Kuna ushauri hutolewa na wazazi, ama walezi, na pia Viongozi wa Dini, kuwakataza Vijana wa kike na kiume kuwa na "URAFIKI"( yaani Boyfriend na Girlfriend).
Hii sii sahihi, Madhara Yake nimeyaona. Mimi Ni victim katika Hili...
Wadau, ninayo machache ya kumweleza Spika wa Bunge letu la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
KWAMBA, kitendo Cha kuzinyima fursa Kamati za PAC na PIC na nyingine zinazohusika kuwa na vikao vyao vya Kawaida kisa tu watashughulika na Ripoti ya CAG, huko Ni kulihujumu Taifa.
Haumkomoi CAG Wala...
Wadau habari za leo? Naamini muu wazima, na wale wenye changamoto ya Afya nawaombea kwa mwenyezi Mungu AENDELEE kutupigania.
Naandika uzi huu kuomba msaada kwa wataalamu mlio humu. Juzi usiku muda wa SAA saba nilitokewa na Hali ambayo sijawahi experience maishani. Ni Kama Kuna mtu alikuwa...
Salama wadau?
Mtoto wangu wa Miezi 11 na majuma mawili siku Kama Tano zilizopita alipandisha joto Sana nikamkimbiza Hospitali, tulifanikiwa kumpima damu na kukutwa na Malaria 7. Hadi hapo tayari alikuwa akiarisha, sometimes anaharisha maji ya kijani, saa nyingine uharo mzito kidogo wenye...
1. Maendeleo bila Ubaguzi, bila kejeli, bila Matusi, bila kuziona Kodi za Watanzania Ni Mali Binafsi ya Rais au Chama.
2. Umoja wa KITAIFA, udugu na mshikamano! Dini, kabila, jamii, jumuia, na Makundi yote yatashiriki Ujenzi wa Taifa lao bila Ubaguzi wa Kiitikadi, Rangi, Ukanda, na Dini!
3...
When we last met, I remember to have advised you on strengthening, among other areas, THE LEGAL TEAM! You promised me that you'll take that and act upon. It has been moths now, and I'm asking you another thing, TO SEE THE LEGAL TEAM TOMORROW AT THE COURT, FILING FOR COURT INJUCTION AGAINST what...
Katika Sakata la Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali, tumeshuhudia Wakurugenzi wa Halmashauri zilizopata HATI CHAFU wakifurumushwa bila kucheleweshwa. Ni Jambo jema, hao Ni Majizi ya fedha za Walalahoi ambazo Mh.Rais ameapa kuzilinda.
Lakini Ripoti hiyo haikuishia tu kutaja madudu...
Nimefika nyumbani muda wa SAA mbili kamili Usiku na kuwasha TV Kisha kwenda Moja kwa Moja kwenye channel ya ITV ili kutizama Taarifa ya Habari! Nilichokutana nacho Ni kipindi Cha Ijue Sheria kilichopaswa kuanza SAA Moja Usiku Hadi SAA Moja na Nusu, na kilipaswa kufuatiwa na Isidingo Kisha...
Maeneo mengi ya Jiji la Mwanza Mgao wa Umeme ni mkali haswa! Tumebaki tunajiuliza, hawa wapo tayari kumsaidia Mh. Rais kukamilisha ndoto yake ya Tanzania ya Viwanda? Viwanda hivi vinahitaji Nishati muda Wote, lakini huwezi kuamini imeshakuwa ni kila Leo Umeme kukatika kwa masaa mengi tu, huo...
Za asubuhi wananzengo wenzangu,
Kuna jambo ambalo nimekuwa nikitatizika sana mimi kama mlipa kodi wa nchi hii.
Naiuliza TRA Mwanza wana uhusiano wowote na SITTA Supermarkert iliyopo maeneo ya Samaki? Hawa watu hawatoi Risiti iwe ya EFD au ya kawaida, ni kwa nini? Are they exceptional? Watoa...
Ni majuma machache yamepita, jukwaa la Wahariri pamoja na Wamiliki WA vyombo vya habari waliweka msimamo wa kumsusia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kwa chochote kile, hususani kumpa coverage. Nakumbuka pia Kuna mtangazaji wa Clouds aliadhibiwa kwa kumtaja na kumsifu Makonda kwa masuala yahusuyo...
Wadau, naamini nyote mu Wazima!
Leo ni takribani miezi kadhaa Kundi la vijana lililotambulika kama Jukwaa la Wazalendo limekuwa kimya tofauti na hapo Awali ambapo karibu kila siku walikuwa wakiibuka na Utetezi dhidi ya Serikali, na tuhuma dhidi ya baadhi ya watu maarufu nchini!
Jukwaa hili...
Kumekuwa na taarifa za kukamilika kwa mchakato wa uanzishwaji wa Mahakama ya Mafisadi. Swali ni kama tunaihitaji Mahakama hii kwa sasa ilihali kuna Mahakama zenye uwezo wa kushughulika na Jinai zote.
Maoni yangu ni kuwa, suala la Ufisadi ni gumu na zito, ila ukweli ni kuwa, mahakama zilizopo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.