Kwanza pole kaka kwa haya yote yanayotokea mbele ya uso wa dunia yako. Lakini pia nikutahdhalishe kuwa ni makosa kisheria kufuatilia mawasiliano ya simu ya mtu mwingine hata akiwa ni mke wako sembuse wewe ni mpenzi wako, hebu jaribu kujiamini na kuachana na haya mambo yanayoweza kukuletea presha...
Mbona wengi sana tumeanzia huko tu jamani, tatizo ni kuwa unajilinganisha na walio na vyumba vingi. Kwasasa fanya uwezalo kuboresha mazingira ya hapo chumbani tu. Hakuna mtu anaekushangaa kwa kuwa na chumba kimoja, ni kawaida sana tu.
Mi sijaelewa kitu kimoja Mtumishi wa Mungu hapa, umejuta na kuomba msamaha kwa mke na kwa Mungu wako sababu ya kumsaliti mkeo, lini sasa mbona umesema ulikuwa na huyu darasa la saba mwenzangu kabla hujaoa? Au baada ya kuoa uliendelea nae kidogo? Ulikosea sana kudhania Elimu ni kigezo kwenye ndoa...
Nitaona jinsi kweli serekali yangu ilivyoshibana na wachina kama msamaha utatoka aisee maana wachina wako makini sana na adhabu zao, hata wananchi wao wanawanyonga kama kuku wakifanya makosa sasa wakituhurumia sisi nitashangaa kwa kweli. Ninachokiona labda watawasamehe lakini kwa masharti ya...
Christopher kuna siku unakuwaga tofauti kabisa aisee, hii ni point sana umeongea nadhani tangu christmas mwaka jana, sijui siku zingine unaamkiaga wapi tu. Unanifurahisha sana hasa unapomshushuaga Bonge wa vimwana, Le-Mutuz..........
Sasa mkuu kweli kama hupitii chochote kati ya hivyo unalalamika nini kuwa stressed? Mbona jibu tayari unalo mkuu. Unaishi kama uko dunia ya peke yako alafu unalalamika, chagua kimoja au viwili hapo uone kama utakuwa stressed.
Nami natafuta mtu wa kushea nae aisee, sina makuu na mtu na mimi, Baba yangu anatoka Sumbawanga na mama ni mtu wa Ukerewe kisiwani. Sinaga matatizo na mtu kama ananiheshimu. Sema tu niliwahi kufukuzwa nyumba mbili za kupanga sababu ya 'maneno -maneno' ya watu. Uko tayari mkuu nikutafute?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.