Haupo peke yako. Naona kukaa nje sana inaleta tatizo kwenye lugha, kiac kwamba mtu unajikuta huwezi kuongea sentensi moja bila kuchanganya na kiingereza. Ila tip niliyojifunza ni hivi, kabla hujaenda bongo, atleast kama mwezi hivi, jaribu kuongea kiswahili ili ukienda bongo ucje ukaaibika.
Habari zenu,
Nadhani ikija kwenye employment, kitu cha kwanza mtu anabidi ajiulize ni, ni kazi gani anataka. Watu wengi, wakiona tangazo la kazi, huishia kuapply just because wanaqualify, lakini wanaishia kuaibika kwenye interviews since wanakuwa hawajui contents za hiyo kazi wala kampuni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.