Tafuta namna upate mkopo,au hiyo laki ingia namna uanze kucheza mchezo na wenzio,then uchukue pesa kubwa, au jiunge na saccoss zipo nyingi unWeza kopa hata maratatu ya pesa yako. Achana na wanaosema kukopa ili kununua gari ni big mistake.Wengi tuna magari ya mikopo
Mimi nimefanya vice versa aliekua mpenzi wangu saizi ndio kawa rafiki....and we have our partnership kwenye masuala ya biashara,niliona akiendelea kua mpenzi napata presha za bure!
Ni woga tu ndio unamsumbua huyu dogo.Mimi nina manzi yangu,nimepiga sana show za kibabe hadi inaomba niisamehe,tulikwazana mwezi mmoja umepita,tumerudiana juzi nimeshindwa kupiga ngoma imegoma kusimama,sikua na hofu,nikamwambia ni uchovu wa kazi,kalala usiku mzima haamini.Ila anajishitukia yeye...
Usipime hilo dude,"najaribu kuandika rymes ili hali wino sina........",toka kwa B ushauri wa kirafiki,msiongee nikiwa sipo wanafiki, njooni sitawadhuru mademu zenu,zimia bovu washikaji zangu kama navyowazimia machangu,"....ipo boom play kule nenda utazikuta zote
Huu ndio ulikua mziki.Nakumbuka nilitoloka shule Kibaha Secondary nikaja Dar kihudhuria show ya FA pale Chuo kikuu Mlimani.Nani kama FA,nilikua namkubali sana kuliko madogo wanavyomkubali Mondi.
Mimi nikiwaona kina FA Jay Mo,Solo huwa nafurahi sana coz hicho ndio kizazi chetu cha muziki...
Namkubali dogo,ana make efforts kwenye kutafuta matokeo, business is all about smartness as long as huvunji sheria.
Tumia kiki au whatever ili mradi ku push kazi zako.Kuna umuhimu wa kua na team pia na wasanii wengine wajue hilo! Nampa hongera dogo kwa kuanza kufanya mapinduzi ya muziki,alafu...
Mazee nahitaji chumba cha kupanga singo iliyo na choo chake (master), bajeti yangu ni kisizidi tsh 80 elfu, malipo yangu taweza miezi mitatu kwanza, maeneo yote kuanzia Igoma, Buzuruga, Meco, Mkuyuni, Bwiru, Nyegezi, Mkolani.
Kisiwe mbali na stendi ya daladala za kwenda mjini, kama unacho au...
Mkuu mbona simple sana.....google map mara zote huwa inakupa shortest distance from your location to the destination.......haiwezi kuwa exactly na real distance,lazima zitapishana kidogo.....tunaotumia google map tunalijua hilo..
Kuna vitu vingi vinavyoweza sababisha gari kutoa mlio,vitu kama berings za Ac au oil pump inaweza sababisha mvumo,...oil pia kutopanda vizuri kuna sababisha vyuma kupiga ka ukelele flani....mimi kwakua najua mafundi wengi wa Dar ni wazee wa kukisia kama wapiga ramli....nachofanyaga natafuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.