Search results

  1. L

    Na mama mkwe naye anataka!

    hATA PATA CHOCHOTE ZAIDI ATAJIDHALILISHA, JIMAMA ZEE, LENYE MAKUNYANZI KUANZIA MAPAJANI MPAKA KTK MAKALIO LIAKUSAIDIA NINI? MMMMH LAKINI WAHENGA WALISEMA NGOME HAZEEEKI MAINI!
  2. L

    Viongozi wetu wamependeza!!!

    Aaaaaaaaaaaah waaaaapi! Mbona naona wanaume wako 3, akinamama 2? Kitu ugly face, duh? Duh? Duh? Dudududududududu, eeeh, aha aha ahaaa,yap yap yap, ebanaeeeeeeeeeeeeee!
  3. L

    Picha itakayomsuta JK na wabunge wake mamilionea.....

    Amazing! Ugly people, end their claims in barz, walawala mingiiiiiii. Tunapenda saaaaaana kulalamika,nani amfunge paka kengele,watanzania inabidi mbadilike kuweni kama wakenya bwana wakiamua kukataa kitu wanakataaa mazima jo! Na je, wewe umeyaona hayo na unalalamika wakati uko town unakula bata...
  4. L

    Kwani lazima kuoana?

    Jiandae kwenda motoni shetani mkubwa we!Bwana Yesu amesema'kila afanyae dhambi huku anacheka ajue ataingia motoni huku analia'.Yaani jitu kubwa zima hata haya huna,eti unamnanii shemeji yako wewe hata kuachiwa dada zako itakuwa taabu.Tubu sasa hivi na nenda kamwombe radhi huyo rafiki yako la...
  5. L

    Kesi ya Abdallah Zombe: Mashitaka, hatia, hukumu na yanayojiri

    Sasa wewe kuweka bango la presida wa Amerika kama utambulisho wako ndio nini?Aibu, mtu mzima ovyo,wadudu wadogowadogo wananyevuanyevua.Badilika jali utaifa wako acha kushabikia mambo ya walami huko majuu,angalia jamaa hao wameanza mchezo mbaya kwa waafrika wanaowaiga,ooohh usije ukaitwa 'rafiki'
  6. L

    PhD na Degree za Mwezi Mmoja: Jamani hii inaingia akilini kweli?

    umemsahau dr.ndodi,dr.kalokola wa jkb,dr.remmy ongara,dr.masinde,dr.kajura n.k
  7. L

    Ni ufisadi wa Spika Samwel Sitta

    Jamani nyie semeni tu, si mmezoea kusema chochote, leteni vitu ila isije ikawa tayari mmeshanunuliwa na mafisadi, MUNGU ATAWALAAANI WOTE MLAO KWA KUTENGENEZA MAJUNGU!
  8. L

    Safari ya Spika Sitta Urambo baada ya NEC August 2009

    6 hana lolote ni zezeta wa kisiasa tuuu,wacha aandamane aone kilichomtoa kanga manyoya!Injii hii bwana,achana nayo.
  9. L

    Je, CCM kuingilia uhuru wa Bunge, imevunja katiba?

    Kweli nimeamini elimu si lazima uvunje madarasa!Wewe unawafagilia waingereza eti wana akili yaani yako imedumaa au?!
  10. L

    Walimu Dodoma Wagoma

    Kule Dodoma leo walimu wa shule za msingi wamegoma na hivi sasa wapo viwanja vya Nyerere Square wakitoa malalamiko yao kwa afisa elimu mkoa juu ya kauli ya kifedhuli ya Mwantumu,yaani shule leo hakuna habari ndio hiyo!Kabla ya kufika hapo Nyerere Square,walimu pamoja na wanafunzi wao walifanya...
  11. L

    Naibu Waziri Mahiza na kejeli kwa walimu

    Huyu mama alikuwa mwalimu mkuu msaidizi shule aliyokuwa anafundisha mama Salma Kikwete,mara baada ya JK kuchukua utamu wa nchi,Salma alimwomba mumewe ampe fadhila Mwantumu kwavile alikuwa anamsaidia kumwandikia 'notes' za masomo ya kufundishia wakati yeye Salma akiwa safarini na mumewe.Hivyo...
  12. L

    Taifa au CCM- Kadi au Katiba?

    Duh wewe una hasira!Unaweza kumeza moto kwa hilo donge lililopo mdomoni!Punguza kidogo najua wewe ni wale mnaopigana kule unyanchorini jamani polepole!
  13. L

    Maamuzi ya NEC ya CCM na Hatima ya Spika Sitta

    We bwana 'Mkapa' chondechonde unampenda 6 au unataka afungiwe biashara zake zote?Jamani tumtetee 6 pia tuangalie maslahi yake kama 6 na si kama Redio!OOoh hawa jamaa hatari kwelikweli,muulize Masumbuko atakwambia!
  14. L

    Maamuzi ya NEC ya CCM na Hatima ya Spika Sitta

    wewe mwenyewe upo upande wa mafisadi,,unabisha nikuumbue!?
  15. L

    habari zenyu vandugu JF

    Acha kutuongopea wewe ni ********* umetumwa na akina fulani kuchukua umbea huku.Tunakukaribisha ila elewa hapa pamejaa watu wa rika na upeo tofauti,ukijigonga tuu umeumia.Karibu sana.
  16. L

    Ingekuwaje kwamba wako kisutu!!!?

    Manyangumi wangeshangilia sana.
  17. L

    Ndoa iliyodumu siku NNE bongo!

    Nina wasiwasi huyo jamaa atakuwa mmachame tuu!te te teh
  18. L

    Mazishi Ya Kichaga

    Mmmhk
  19. L

    Kweli watanzania sasa tuko njia panda,kondomu mpaka makanisani na misikitini?

    Kuna viongozi wa dini zingine hawaruhusiwi kuo hivyo wameshauriwa kutumia kondom kwavile wapenzi wanaokutana nao wana wenzao.Jamani waruhusini hao viongozi wawe na wake kwani hali inatisha sana!
  20. L

    Tambwe Hizza amshambulia Mwanakijiji

    Wanaopigana Tarime wameshiba hao,kwani mwenye njaa hana uwezo wa kurusha hata teke sembuse nchale!
Back
Top Bottom