Habari ndugu zangu.
Natumaini mu-wazima. Naomba msaada kwa atakayekuwa na utaalam au ushauri juu ya hili gonjwa.
Inaanza kuuma kwenye visigino na nyayo, usaha unakusanyana na baadaye inakuwa kama kidonda. Kinapona baada ya muda kinarudi.
Nimehangaika sana kidogo watoto washinde njaa sema nilikuwa na kaakiba kidogo kwenye airtel money ndiyo nimewatumia, wanachosha sana, mara wakuambie unatakiwa uweke hela TRA, wakati huna uhusiano wowote.....mbaya sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.