mkuu matusi ya nini tena kaka. kama mtu anao ushahidi basi hoja yake ni ya msingi, tumpuuze akishindwa kutuletea ushahidi hapa.Ama ingekuwa nzuri zaidi ungekanusha kwa hoja. Wengine wataishia kusema katumwa, lakini ni vizuri mtu huyo akalipa hilo deni kabla ya kuingia ikulu manake asije kutumia...
Binafsi nilipata mashaka makubwa na kukosa amani siku ya sherehe za miaka 50 ya uhuru. Nilikosa amani kwa kuwa silaha zilizoonyeshwa na jeshi letu zilikuwa duni na isitoshe zilikuwa za kizamani sana. Kuna wakati nilivuta hisia kuwa jeshi la Wavietinam miaka ile lilikuwa linapita mbele yangu...
Kwanza napenda kupongeza msimamo wa madiwani wa kata za Mwanza kwa kuonyesha msimamo thabiti katika kutetea maslahi ya jamii. Hili lisiishie Mwanza tu, Halmashauri nyingi nchini madiwani ni kama wapo katika usingizi mzito na wengi hawajui wajibu wao. Waamke sasa nao waingie katika mapambano ya...
Nchi imekuwa na hali ngumu. Ubadhirifu wa mali ya uma kila kona. Raia wamechoka! Mbaya zaidi hata ajira zao za kuokoteza mitaani wameacha kufanya na badala yake wanajadili vituko vya wanasiasa...Dhaifu kashindwa, anahitaji ushauri ili akae pembeni kwa amani aache vidume washike hatamu. Kwa hali...
Mkuu huwezi kupewa nguvu za kijeshi na jamaa bila kupambana na magaidi ana kwa ana. Peleka jeshi likapigane na Taleban uone. Siku 2 unapewa madege ya kivita.
Bunge liliahirishwa wakati gani na madai ya wapinzani yalikuwa wakati gani? Kuahirisha kujadili hotuba iliyokuwa imepangwa haina maana wabunge wote waende kuzamia kwa ajili ya kuokoa watu. Ni spika kuruhusu hoja ya dharura ili bunge lijadili hatua gani ya dharura serikali ichukue. Kubali...
Usiulize ajali ya treni ilitokea wapi! Ajali ni ajali tu. Kwa watanzani ikitokea ndani ya mipaka yao zote ni ajali sawa bila kujali imetokea umbali gani kutoka Dodoma lilipo bunge. Kwani wanaosafiri ndani ya mkoa wa Dodoma kwa akili yako ndiyo binadamu. Wakishatoka nje ya mkoa wanakuwa ngedere?
Tofauti ipo mama Makinda. Wabunge wanawawakilisha moja kwa moja wananchi kwa sababu huingia pale kwa kura zao. Tofauti na mihimili mingine. Wananchi wanapopata majanga mtu wa kwanza kwenda kushirikiana nao anatakiwa awe muwakilishi wao katika serikali. Sasa unataka hakimu aje akuwakilishe wewe...
Mkuu, jaribu kuwa na ubinadamu kidogo. Pamoja na ubinadamu, pia kuna dawa unazoweza kutumia ili kuondoa kichwani mabaki ya bangi uliyowahi vuta zamani. Ukatili na kutokuwa na huruma ni dalili ya kuathiriwa na bangi katika akili. Kumbuka, ilipotokea ajali ya treni. Spika mwenye huruma aliahirisha...
Kuna mambo yanayosikitisha. Ambayo hata ukiambiwa mtu mwenye akili timamu huwezi kuamini. Ni kichaa peke yake, tena yule mwehu ambaye hajapata matibabu ndio anaweza kuamini kuwa, spika wa bunge anaendelea kuendesha bunge wakati ambapo kuna meli inazama ikiwa na mamia ya watu ndani yake. Tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.