Search results

  1. B

    Kimenuka Vigogo Mahakamani

    SAKATA LA ESCROW: Vigogo watatu Benki Kuu, Tanesco na TRA kortini Kisutu Dar leo. Watuhumiwa kwa ufisadi wa akaunti ya Tegeta Escrow, taarifa zaidi kukujia.
  2. B

    Vumbi lafunika anga

    VUMBI LAFUNIKA ANGA: Vumbi zito latishia uhai wa wakazi wa Gairo, Kibaigwa, Kongwa na Dodoma mjini jioni hii; lazagaa na kutanda angani; watu wajifungia ndani.
  3. B

    Taarifa muhimu soma

    TAARIFA YA KUKOSEKANA HUDUMA YA MAJI KWA SIKU MBILI JIJINI DAR Dawasco inawatangazia wakazi wote wa jiji la Dar es salaam na Mji wa Bagamoyo kuwa mtambo wa kuzalisha Maji wa Ruvu Chini utazimwa kwa wastani wa saa 48 kwa siku za Alhamisi na Iijumaa ya tarehe 30 na 31 Octoba 2014, kuanzia saa...
  4. B

    UKAWA kutiliana saini makubaliano ya Muungano wao Octoba 26

    UKAWA: Prof Lipumba amesema leo Dar es Salaam kuwa Ukawa watakutana Oktoba 26, kusaini makubaliano yao ya kumweka mgombea mmoja katika ngazi zote za uchaguzi.
  5. B

    Wanajeshi, polisi watwangana risasi

    VURUGU MARA: Wanajeshi 6 JWTZ jioni hii wavamia kituo cha polisi cha Tarime na kuwapiga polisi baada ya mwenzao kukamatwa, RPC Lazaro Mambosasa athibitisha. CHANZO: Mwananchi
  6. B

    Maafa Ruvuma: Watu zaidi ya mia mbili walazwa baada ya kunywa pombe na togwa vyenye sumu

    MAAFA RUVUMA: Watu 200 katika Kijiji cha Litapwasi wamenusurika kufa baada ya kunywa pombe (Togwa) inayodhaniwa kuwa na sumu. Tukio hilo limetokea katika sherehe iliyokua ikifanyika katika kijiji cha Litapwasi, kata ya Mpitimbi. Baadhi ya wahanga wa tukio hilo wamelazwa hospitali ya misheni...
  7. B

    CHADEMA waandamana Kinondoni

    CHADEMA WAANDAMANA: Polisi Kinondoni wawadhibiti kwa mabomu ya machozi wafuasi wa Chadema Kata ya Manzese jijini Dar es Salaam leo wanaopinga mchato wa katiba.
  8. B

    Jela Miaka 60 nchi ngumu

    JELA MIAKA 60 GEITA: Mahakama wilayani Bukombe jana imemhukumu Luzelela Shibu (51) kifungo cha miaka 60 jela kwa kumbaka na kumlawiti kikongwe wa miaka 63.
  9. B

    Polisi wakamata watu 17 CHADEMA

    MZOZO YA KATIBA: Polisi mkoani Katavi wakamata waandamanaji 17 wa Chadema leo, wakiwemo viongozi waandamizi 3, wanaopinga Bunge la Katiba linaloendelea Dodoma.
  10. B

    Vipeperushi vya vitisho vyasambazwa bungeni Dodoma

    VITISHO DODOMA: Polisi waanza kuchunguza taarifa zilizosambazwa leo Dodoma kupitia vipeperushi zinazowatisha wajumbe wanaohudhuria mkutano wa Bunge la Katiba. ================================ Chanzo:Mwananchi
  11. B

    Vurugu mauaji lindi

    VURUGU, MAUAJI LINDI: Mlinzi wa Durbhai Amin amuua kijana (miaka 22) kwa risasi wakati akipita kwenye shamba la mmiliki huyo leo. Wanakijiji Makwaya waandamana
  12. B

    Serikali yakwaa kisiki kuizuia TLS mahakamani

    KESI DHIDI YA BUNGE: Mahakama Kuu Dar yatupa ombi la serikali leo kutaka kesi ya TLS dhidi ya Bunge la Katiba isisikilizwe. Kesi ya msingi kuendelea. ============================ Chanzo:Mwananchi
  13. B

    Wahamiaji haramu mbaroni

    WAHAMIAJI HARAMU MBARONI: Raia 17 wa Ethiopia wakamatwa wakiwa wamejificha kwenye msitu wa Maranzara mkoani Tanga, RPC Fresser Kashai athibitisha leo.
  14. B

    Tamko la serikali

    TAMKO LA SERIKALI BUNGENI: Waziri DK A. Migiro atangaza bungeni mjini Dodoma jioni hii kuwa mjadala wa kusitishwa Bunge hilo umefungwa rasmi, na liko kihalali.
  15. B

    Mahakama yatupilia mbali pingamizi la Serikali kuhusu kustishwa kwa bunge la katiba

    Mahakama imetupilia mbali pingamizi la kutaka bunge maalum la katiba kusitishwa. Sasa kusikiliza kesi ya msingi ya tafsiri ya mamlaka ya Bunge hilo.
  16. B

    Mauaji Geita: IGP atoa sh10m

    MAUAJI GEITA: IGP E. Mangu leo ametangaza bingo ya Sh10m kwa mtoa taarifa zitakazosaidia kukamatwa kwa watu waliovamia kituo cha polisi jana usiku mkoani Geita.
  17. B

    Ebola yatua Afrika Mashariki

    Mwanafunzi wa Kijerumani aliyewasili Rwanda kutoka Liberia amewekwa kwenye karantini mjini Kigali akiwa na dalili zinazofanana na za ugonjwa wa Ebola. ============== CHANZO: Mtanzania ===================== Waliohofiwa kuwa na Ebola wagundulika kutokuwa na ugonjwa huo. Kwa taarifa zaidi...
  18. B

    Israel wasalimu amri

    Msemaji wa jeshi la Israel amethibitisha leo kuwa wanajeshi w anchi hiyo wameondoka kutoka ukanda wa Gaza, na kuhitimisha operesheni ya ardhini.
  19. B

    Jakaya theatre arts

    HABARI! JAKAYA THEATRE ARTS WAKISHIRIKIANA NA TANZANIA ARTIST'S TOURNAMENT (TAT) Tunapenda kuwaalika katika bonanza la wasanii wa makundi yote ya sanaa Dar es salaam litakalofanyika kuanzia tar 16/08/2014, Lengo kubwa likiwa ni kujenga urafiki na ushirikiano pia kujitangaza kwa kazi zetu...
  20. B

    Israel imewaita wanajeshi wa akiba

    Israel imewaita wanajeshi 16,000 zaidi wa akiba kuimarisha vikosi vinavyopigana Gaza, huku Marekani ikiiruhusu kutumia maroketi yake yaliyohifadhiwa huko. =========================================== Gaza City (Palestinian Territories) (AFP) - Israel vowed Thursday it would not pull troops out...
Back
Top Bottom