Wakuu, katika pita pita zangu za kusoma majarida mbalimbali plus ku Google, nimekuta kwenye news ya BBC kuwa Gen Chiwenga alipata military training Msumbiji na Tanzania. Nadhani atakuwa alisoma na Gen Mabeyo huwezi kujua! Kweli jeshi letu ni la ukombozi kusini mwa Africa!
Hivi Sonko kawa lini Gavana wa Kajiado? Lumumbaz kwa mkurupuko hamjambo. Joseph Ole Lenku ndie Gavana, we kiazi wa lumumba! Lakini hatushangai maana Sadam Hussein ni rais wa Algeria!![emoji35]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.