Search results

  1. Khakha

    Mabadiliko Polisi: Kamanda aliyetoa amri ya kukamatwa wanaowakoholea wanawake ahamishiwa mkoa mwingine

    Huyo polisi hana maadili. Hajui maana ya kiapo cha kutunza siri na uaminifu!
  2. Khakha

    Ushauri: Mwanaume anataka kunioa lakini ana maumbile madogo

    Genetics wewe Mungu? Nenda kapandikize mbegu unazotaka zimejaa bwererereee China!
  3. Khakha

    Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

    Acha fix ndo mchezo wako huo wadanganye wanachuo wenzio. Pambav!
  4. Khakha

    NASA Kumwapisha Odinga Kama rais wa Kenya

    Kwanza aapishwe kwa uchaguzi upi alioshiriki? Si alikimbia uchaguzi wa marudio huyu? Aende zake kisumu akanywe gongo!
  5. Khakha

    House4Sale Ghorofa linauzwa-Mbezi beach (Jogoo)

    Mkuu hapo 900 itapendeza sio 600!
  6. Khakha

    Zimbabwe: Rais Robert Mugabe ajiuzulu Urais kabla ya Bunge kumuwajibisha

    Wakuu, katika pita pita zangu za kusoma majarida mbalimbali plus ku Google, nimekuta kwenye news ya BBC kuwa Gen Chiwenga alipata military training Msumbiji na Tanzania. Nadhani atakuwa alisoma na Gen Mabeyo huwezi kujua! Kweli jeshi letu ni la ukombozi kusini mwa Africa!
  7. Khakha

    Ushindi wa Uhuru Kenyatta watambuliwa na Mahakama. Kenyatta kuapishwa tarehe 28 Novemba

    Hongera Uhuru ila nafurahi zaidi Kenya wameset precedent kuwa uchaguzi unaweza ukapingwa mahakamani Africa.
  8. Khakha

    Toa tathmini kuhusu katuni hii ya GADO kuhusu hatma ya EAC.!

    Mkuu huyo sio Salva kitu(Kiir), ni Mzee wa Whiskey jirani yetu hapo juu!
  9. Khakha

    Tetesi: Serikali ya Kenya yawafidia wafugaji walioporwa mifugo yao na serikali ya Tanzania .

    Hivi Sonko kawa lini Gavana wa Kajiado? Lumumbaz kwa mkurupuko hamjambo. Joseph Ole Lenku ndie Gavana, we kiazi wa lumumba! Lakini hatushangai maana Sadam Hussein ni rais wa Algeria!![emoji35]
  10. Khakha

    Dkt. Luis Shika ni nani? Tumfahamu zaidi

    Kweli mkuu, Leonid Brezhnev mtu mbaya sana!
  11. Khakha

    Serikali: Miaka 2 ya Rais Magufuli, tumeongeza ari na nidhamu kwa watumishi! Mapato yapanda toka trion 9.9 hadi trion 14

    Si umesikia sifa hizo mkuu? Refer sredi yako ile ya "sifa" nyingi kwa Abbas!
Back
Top Bottom