Utafiti uliofanyika ni mzuri japo maelezo hayajajitosheleza ni aina gani ya matikiti sababu yana kabila kama binadamu,kuna meupe tupu hadi ndani na kuna yenye wekundu ndani.Pia kiwango cha maji yanayojaa 2mboni baada ya kula tikiti yanaweza kuathiri tendo hata kama nguvu zitangezeka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.